๐๐๐ Nkamu walikukaribisha.!!Umenikumbusha mbali Kariakoo
Wakati ndio naingia mjini tu
Siku moja nilibambikiwa Dola feki za note 100 kama 5 hivi
Nikashtuka
Nikajua aliyenibambika
Sijui ningembebea tajiri mbeleko gani๐๐
Mshahara wangu wa miezi kadhaa ningetumia kulipa deni
Ulizibeba ukiwa bongo?Sure Kuna siku nilibeba hivi miaka mitano nyuma japo safari ilikuwa ndefu ila sikua na wasi wasi kabisa yaaniView attachment 3057982
Yaa! Asrusha to dar es kama, ila nilizurura pale Arusha kwa uhuru kabisa , sijui ingekuwaje kama ingekuwa misimbazi yetu hiiUlizibeba ukiwa bongo?
Nimekuwa kivutio cha mali asili mi ๐น๐นWeee embu tupia nyingine ๐
Nilimshtukia akawa ananidai sana chenji๐๐๐ Nkamu walikukaribisha.!!
Mi dollar nachukua kwa wateja maalum wakongo na wazimbwabwe na nazijua kuziangalia.!!
Hawa makanjanja wengine nawaelekeza kwenye bureau wakakatishe waje na shillings sitaki kuumizana vichwa ๐น๐น๐น
Doooooh aiseeeeNimekuwa kivutio cha mali asili mi ๐น๐น
Hizi natupia siku nikijisikia, subiri siku nyingine nikiwa na vibe
j๐๐๐ Nkamu walikukaribisha.!!
Mi dollar nachukua kwa wateja maalum wakongo na wazimbabwe na nazijua kuziangalia.!!
Hawa makanjanja wengine nawaelekeza kwenye bureau wakakatishe waje na shillings sitaki kuumizana vichwa ๐น๐น๐น
Kkoo kila mtu anatafuta wa kumuibia ๐น๐นNilimshtukia akawa ananidai sana chenji
Hela zake nikaweka pembeni
Sikuchanganya
Angeniliza hivihivi naona
Baadaye nilivyozoea nikawa nikiishika tu nagundua
Trooooka pepo shendrwaaaa kwa jina la Yesu ๐น๐นDoooooh aiseeee
Sema hicho kisket ni suala la kukipandisha alafu hicho kisuruali ni kukishusha chini alafu ๐ ๐ ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Kuna mtu alilizwa na madereva wa transit kijinga kwa tamaa zake.!!Kuna jamaa
Uroho wa pesa
Akawa anaenda kubadilisha mtaani ili tzs anachukua Dola apate Cha juu exchange rate ikiwa vzr
Nikamwambia omba mganga wako wa ulinzi awe mkali,usipojee Dola feki
Ulibambikiwa feki huko mtaani utalia na kusaga meno
Note 1 ya Dola mia ni laki 2
Sijui utambembea mhindi mbeleko gani ๐คฃ๐คฃ
j
Misimbazi inajaa lazima wadudu wangekukalisha mtu kati ๐น๐นYaa! Asrusha to dar es kama, ila nilizurura pale Arusha kwa uhuru kabisa , sijui ingekuwaje kama ingekuwa misimbazi yetu hii
Kila mtu mjanjaKkoo kila mtu anatafuta wa kumuibia ๐น๐น
Hao dawa yao kuwauzia kwa shilling wala huumizi kichwa.!!
๐๐๐ nkamu hiyo kiboko unajazia na machungwa khaaa.!!Kila mtu mjanja
Hapo nikimaloza hekaheka za kuibkana Dola
Nahamia hekaheka za mwendokasi gerezani
Na burungutu la dola
Nilikuwa natia kwenye kifungashio Cha jero
Mbinu za kivita
Juu naweka machungwa
Dar hakupoi hakuboi
Nilikuwa nazurula nazo๐๐๐ nkamu hiyo kiboko unajazia na machungwa khaaa.!!
Unaenda na pesa nyumbani??
Mi nikitoa pesa ni bank, nyumbani situnzi aisee.!!
Ni risk kubwa sana unaweza kuvamiwa
Misimbazi inajaa lazima wadudu wangekukalisha mtu kati ๐น๐น
Hiyo pete ni yanini๐Picha maalum kwaajili ya raraa reree ๐น
Una hatari sana.!!Nilikuwa nazurula nazo
Mganga wangu mkali๐๐๐๐
Mimi nikienda kudeposit shillings nazibeba kwenye bag mgongoni ๐น๐น๐นNote za Tz ni mzigo
Usd unyama ni mwingi
Hata pochi inakaa kitajiri
Ya kidole ๐นHiyo pete ni yanini๐
Naona๐๐๐Ya kidole ๐น