Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Akili zetu zimedumaa kwa mali tulizonazo tunaweza kujenga hata kipindi hiki..
Mitambo ya Ujenzi kuingiza Tanzania ni kama unaleta kitu Peponi au magari ya Ujenzi kwa hiyo gharama za Ujenzi zinakua juu kwa sababu ya kodi kubwa kwenye vifaa wakati bado tupo kwenye kuhamasishana kuwa na vyoo bora...
Tanzania ina mali sawa na SA ni vile sisi ni Wadumavu na hatupendi maisha bora kwa wote..
Naunga mkono hoja yako

Pamoja na Viongozi wetu kusafiri na kupata exposure Nchi zilizoendelea, lakini wameshindwa kuja na mawazo chanya kutupeleka mbele
 
Good morning
 

Attachments

  • IMG-20240721-WA0096.jpg
    IMG-20240721-WA0096.jpg
    72.1 KB · Views: 12
Kwa bei ya Sasa hadi Usajili ni shilingi ngapi Kwa hela zetu za Madafu?

Kupanga sio Matumizi, huenda Kuna Siku upepo wa hela ukanitembelea 🤗
Hizo zilichukuliwa mpya sema zilizotumika zinafika kwa 75m kuendelea mpaka 80m za kuanzia 2017 model mpaka 2020 model Wildtruck au Ranger HR...kwa auto na manual inapungua kidogo maana Manual zipo bei ndogo kuliko Auto huko kwenye masoko ya magari..
 
Hizo zilichukuliwa mpya sema zilizotumika zinafika kwa 75m kuendelea mpaka 80m za kuanzia 2017 model mpaka 2020 model Wildtruck au Ranger HR...kwa auto na manual inapungua kidogo maana Manual zipo bei ndogo kuliko Auto huko kwenye masoko ya magari..
Shukrani Kwa info Mkuu 🙏🙏

Hiyo Used ya automatic hadi kukamilisha Usajili ndiyo hiyo 75M??
 
Ile nyumba sijui umehama Mjukuu, nimepiga hodi hadi amekuja kuniondoa balozi wa nyumba 10 😜🙌
Polee babu!😕

Nilikimbia markiti kununua vikorokoro kwaajili ya maakuli. Yule balozi ana nongwa sana, aliniona kabisa nikimuachia maagizo mtoto wa jirani kuwa anipokelee mgeni wangu kabla sijatoka.🥴
 
Polee babu!😕

Nilikimbia markiti kununua vikorokoro kwaajili ya maakuli. Yule balozi ana nongwa sana, aliniona kabisa nikimuachia maagizo mtoto wa jirani kuwa anipokelee mgeni wangu kabla sijatoka.🥴
Nami pia niliona hivyo, maana alianza kuniuliza maswali mengi yenye nongwa ndani yake...

Imagine

Eti mbona Mjukuu wako ana rangi ya Dubai halafu Mimi Babu yake nina rangi ya Afrika Magharibi 🙌😜

Nilimpa jibu rahisi tu, alete Posa ya ng'ombe 1,000 tumpe Mke 🤗
 
Back
Top Bottom