Koh Koh Koh...........hivi ulisema unataka zawadi ya abaya la rangi gani Mjukuu π€πΉπΉπΉ nilonge nisilonge?
Mwenzenu babu, mchumba wake ni β¦β¦β¦.!!
Babu mibibi unayo bana na unaitafuna kinyatu nyatu huna baya
πΉπΉπΉ Anaipelekea miyotoπππHataki tabu ni mwendo wa kujisevia mishangazi
Anataka Babu yenu nife Kwa Presha naona π€πππMy Wii kumbe watu wanamgombea Babu si watamuua Kwa presha
ππMishangazi ni neemaAnataka Babu yenu nife Kwa Presha naona π€
Hayo mambo na umri huu nawezea wapi Babu yenu π
πππ babuu yangu mimi huyoKoh Koh Koh...........hivi ulisema unataka zawadi ya abaya la rangi gani Mjukuu π€
Halafu ukiwa una Siri za watu jitahidi kutokunywa sana π
Hizo nguvu zinatoka wapi Mjukuu na umri huu π€ππMishangazi ni neema
Sio wifiyangu naekujua ππππππ babuu yangu mimi huyo
Babu abaya rangi ya nude jomooonii
Siri hazitoki ziko safe place hata nilewe vipi babu πΉπΉπΉ
Mishangazi Haina speed nasikia km watoto wa elf 2 BabuHizo nguvu zinatoka wapi Mjukuu na umri huu π€
Nakuchukulia na kiatu cha Mnyunyumio Mjukuu, muhimu uendelee kutunza Siri za Wazee ππππ babuu yangu mimi huyo
Babu abaya rangi ya nude jomooonii
Siri hazitoki ziko safe place hata nilewe vipi babu πΉπΉπΉ
Kweli wifi πΉπΉπΉSio wifiyangu naekujua πππ
Ewaaaah ππNakuchukulia na kiatu cha Mnyunyumio Mjukuu, muhimu uendelee kutunza Siri za Wazee π
Koh Koh Koh ............Kiko ya leo sijui imetoka Songea, inanipalia sana Babu yenu πMishangazi Haina speed nasikia km watoto wa elf 2 Babu
Mm mwenyew natamni wajomba ndo Ivo sijawapata tuπππ
πππnatak wajomba vijana wakunywa energy na Panadol wataniuaKoh Koh Koh ............Kiko ya leo sijui imetoka Songea, inanipalia sana Babu yenu π
Achana na wajomba Mjukuu, Kuna Kijana wa Rika lako amekuja kukuposa wiki iliyopita π€
Done Mjukuu, ujiandae kuja kuvifata tu π€Ewaaaah ππ
Iwe wedge babu, pointed itatoboa abaya langu πΉ
Wazima vip apo dar es salaam njoo uselfike basi thanks in advance adios amigos πππWewe una sura nyingi km agano la kale πΉπΉ
Vipi pariii wazima?
Hahaha.........si nasikia mnapenda safari ndefu, Hamtaki Wazee wa mwaka 47 ππππnatak wajomba vijana wakunywa energy na Panadol wataniua
Sitak wazee Wala vijana ni wajomba tu ππHahaha.........si nasikia mnapenda safari ndefu, Hamtaki Wazee wa mwaka 47 π
Sema nini wewe kaza ipo siku utafika pariii kweli πΉπΉπΉWazima vip apo dar es salaam njoo uselfike basi thanks in advance adios amigos πππ
Nimeku PM,Sema nini wewe kaza ipo siku utafika pariii kweli πΉπΉπΉ
Halafu jikubali na kucheza na wadada uache
Sitak wazee Wala vijana ni wajomba tu ππ