Selfika na JF: Snap it. Show it

Njoo PM nikuonyeshe na selfie ya casava ndipo uamini ni picha zangu ama sio... we njoo tu..
Hiyo nafasi mpe dada kiboga wa kigamboni aje kukuchungulia ndio vitu vyake hivyo 😹😹😹
Hebu dada kiboga wahi ukaangalie kasava
 
Sio kweli Mjukuu;

Bibi Which?
Bibi Where?
Bibi who??
Bibi whom??

Nioneeni huruma Babu yenu πŸ€—
😹😹😹 nilonge nisilonge?
Mwenzenu babu, mchumba wake ni ……….!!

Babu mibibi unayo bana na unaitafuna kinyatu nyatu huna baya
 
😹😹😹 nilonge nisilonge?
Mwenzenu babu, mchumba wake ni ……….!!

Babu mibibi unayo bana na unaitafuna kinyatu nyatu huna baya
Koh Koh Koh...........hivi ulisema unataka zawadi ya abaya la rangi gani Mjukuu πŸ€—

Halafu ukiwa una Siri za watu jitahidi kutokunywa sana 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…