komenti lako limekaa kinafki sana unafikiri sioni chat zenu! mnataka mkashikishane usukani huko!..π€£ wacha niendelee kulumbana kwa hoja huko nifanye sijaona lkn najua kabisa mkono tupu haulambwi
View attachment 3031674
Nakumbuka Mwaka 47 ilikuwa gari zinasimama zote wakikuona Mzee unavuka barabara, Siku hizi unatakiwa kuwa na mbio za Farasi kuweza kuvuka π
komenti lako limekaa kinafki sana unafikiri sioni chat zenu! mnataka mkashikishane usukani huko!..π€£ wacha niendelee kulumbana kwa hoja huko nifanye sijaona lkn najua kabisa mkono tupu haulambwi