[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachaaaa wee!!!niende wapi ikiwa kwako ndo nimefika laaziz..?
mi nachohitaji ni hilo komwe lako ndio nimekupendea hicho! fungua moyo nikufungulie upendo
mimi ni zuzu lkn sio zuzu kwa kiwango hicho! umetuachia vijana wakati kitoto ushakilegeza kinakuja kunywa juice...π€£Mkuu sisi wengine ni Wazee wa Umri, hao Wajukuu tumewaachia nyie Vijana ππ€
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee K sasa naenda kunywa Juice kwa babuu, bas twendee wotee, babuu angu hana kwereee.mimi ni zuzu lkn sio zuzu kwa kiwango hicho! umetuachia vijana wakati kitoto ushakilegeza kinakuja kunywa juice...[emoji1787]
Hahaha...............utanikuta karibu na kaunta nimeshika Kiko yangu navuta πWatu weuweeeeee!!!!! Mtu na gran bah wakee mjiniii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakujaaa kumaliziaa hiyoo juice.
Mkuu huyo ni Mjukuu wangu tu, si unajua utani wa Babu na Mjukuu π€mimi ni zuzu lkn sio zuzu kwa kiwango hicho! umetuachia vijana wakati kitoto ushakilegeza kinakuja kunywa juice...π€£
Nakuja babu niagizie kichaa cha diamond hapo kukukukuNimefika dakika 25 zilizopita
Kwasasa nipo KukuKuku hapa Mlimani nawaangalia Vijana wanavyokula maisha π€
aa wee hiyo juice inakufaa wewe tu...π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee K sasa naenda kunywa Juice kwa babuu, bas twendee wotee, babuu angu hana kwereee.
nyie ndo akina babulilo!Mkuu huyo ni Mjukuu wangu tu, si unajua utani wa Babu na Mjukuu π€
Hahaha........mnataka Wazee tuvuke barabara haraka utasema tuna mbio kama za nyie Vijana πTatizo sasa hivi tumevamiwa na wazee wa hovyo ahahahha
Mjukuu unanipa kazi, hivi Umri huu nasemaje Mimi Kwa Waiter kwamba Babu yao nataka Kunywa Kichaa cha Diamond πNakuja babu niagizie kichaa cha diamond hapo kukukuku
Ni chakula hicho babu π€£π€£π€£Mjukuu unanipa kazi, hivi Umri huu nasemaje Mimi Kwa Waiter kwamba Babu yao nataka Kunywa Kichaa cha Diamond π
Anyways, nikuagizie ngapi lakini Mjukuu π€
Hahaha..........Kuweni na imani na Wazee π€nyie ndo akina babulilo!
Hapo sawa, nimeshamwita mtu wa JikoniNi chakula hicho babu π€£π€£π€£
Nakujaaaa chaap gran bah!! [emoji482][emoji482][emoji482]Hahaha...............utanikuta karibu na kaunta nimeshika Kiko yangu navuta [emoji12]
sawa zee la cocastic hilo mi wacha nikaulaze ujana wangu kwanza...πHahaha..........Kuweni na imani na Wazee π€
Eeeeh ndiwoooo!!!Mkuu huyo ni Mjukuu wangu tu, si unajua utani wa Babu na Mjukuu [emoji847]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si unasindikiza tyuuh mie!! Wee mwanaume muoga Lolaa wee hiyo juice inakufaa wewe tu...[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyie ndo akina babulilo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah!!!sawa zee la cocastic hilo mi wacha nikaulaze ujana wangu kwanza...[emoji2]
Hahaha...............hayo mambo Mwaka 47 ilikuwa yanafanyika kwa Siri mno.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa sanaaa!! Had babuu anahamasisha mafiga 3, kwanini mie nisifuate?
Ba tamuu jiandae kupata wasaidiziii, lol