Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwanaume kuwa mbea hata haipendezi, ww unajiona uko sawa?? Unabishana na ex wako hii kali 🀣🀣🀣🀣

Haya lete huo udraaku ila tuwaombe mods mapema wasitupe ban. Halafu mimi dhaifu na mpweke?? 🀣🀣🀣
Kwahiyo ww ndo uliyekuwa unanitoa huo upweke?? Em tulia Mh unajishusha vyeo na unaidhalilisha Arusha
 
kungekua na voice ningekwambia utamke parachichi kuna namna yenu hua mnatamka eti paradzidzi,,🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wee shendrwaaaa
Tunaongea km tuna mapengo, na usiombe utukute tunadai pesa weeh
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wee shendrwaaaa
Tunaongea km tuna mapengo, na usiombe utukute tunadai pesa weeh
yani watu wanaleta mdzezo na pesa za wakingaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ushawahi kuona ugomvi wa wapendanao wewe?? 🀣🀣🀣🀣
Kivumbi leoooooo
yaaan huu uzi sitoki leo sitaki kusimuliwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yan kabla mods hawajafanya yao niwe nimeona
 
yaaan huu uzi sitoki leo sitaki kusimuliwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yan kabla mods hawajafanya yao niwe nimeona
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mi nitatoa ushindi wa mezani, sipendagi vurugu na maex
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Acha basi
aseeee kuna uyo mama naishi nae mtaa mmoja ni mkinga hua anaongea ivo basi mwenyewe yupo comfortable hata kwenye kusanyiko m hua nainjoiii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mi nitatoa ushindi wa mezani, sipendagi vurugu na maex
unafkiri ntatia neno sasa,,labda unipe ruhusaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaani nitanunua io vita
 
Unaanza kujihami, masuala ya umbea na udaku yanakujaje? Unafikiri unaweza kuniblackmail?
Nikutoe upweke gan, yes we ni dhaifu na mpweke. Kama nilisaidia kukutoa basi it's ok
Najishusha vyeo kwa nan? Na nilijipandisha vyeo kwa nan?
 
aseeee kuna uyo mama naishi nae mtaa mmoja ni mkinga hua anaongea ivo basi mwenyewe yupo comfortable hata kwenye kusanyiko m hua nainjoiii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila kitamu tunaongelea kooni
 
unafkiri ntatia neno sasa,,labda unipe ruhusaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaani nitanunua io vita
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Vita yangu inanunuliwa na huyo huyo shemejio, kashanunua vita nyingi humu za kwangu. Na usishangae katikati ya ugomvi wetu akakugeuka 🀣🀣🀣
 
Unaanza kujihami, masuala ya umbea na udaku yanakujaje? Unafikiri unaweza kuniblackmail?
Nikutoe upweke gan, yes we ni dhaifu na mpweke. Kama nilisaidia kukutoa basi it's ok
Najishusha vyeo kwa nan? Na nilijipandisha vyeo kwa nan?
Jipigie makofi umeshinda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila Kantry bana!! Unajua tushagombana kitambo hukoooooo mwaka ushapita. Hapa kila nikijitahidi nikuchachue naona πŸ† yako nalegea nahairisha πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Jipigie makofi umeshinda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila Kantry bana!! Unajua tushagombana kitambo hukoooooo mwaka ushapita. Hapa kila nikijitahidi nikuchachue naona πŸ† yako nalegea nahairisha πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
Hiyo kunichachua ndio huwezi na usije ukajaribu unajua vile tulikua tumefika, itakula kwako
Mm nipo kuondoa unafki wako na nitauondoa, unajua ujinga uliofanya alafu ukiwa huku unajizima data.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Vita yangu inanunuliwa na huyo huyo shemejio, kashanunua vita nyingi humu za kwangu. Na usishangae katikati ya ugomvi wetu akakugeuka 🀣🀣🀣
ata najali sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hiyo kunichachua ndio huwezi na usije ukajaribu unajua vile tulikua tumefika, itakula kwako
Mm nipo kuondoa unafki wako na nitauondoa, unajua ujinga uliofanya alafu ukiwa huku unajizima data.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwahiyo upo hapa kwaajiri ya kutoa siri zetu?? Haya zitoe zote usiache hata moja yani zote toa.!!
Halafu mbona umenikalia kooni nini mbaya??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…