Mwanaume kuwa mbea hata haipendezi, ww unajiona uko sawa?? Unabishana na ex wako hii kali π€£π€£π€£π€£Nimejibu comment ambayo inanihusu. Navuka misingi ya kiumeni? Hiyo misingi ni ipi?
Nakutoa mlio soon, wait and see but sina haraka
Hakuna wa kunituma na hizi tuhuma zako ndio ujinga unaoendekeza nao nitaukomesha. Chama kubwa Kama arsenal? Ww ulivyo dhaifu na mpweke hivyo? Subiri uone
ππππ wee shendrwaaaakungekua na voice ningekwambia utamke parachichi kuna namna yenu hua mnatamka eti paradzidzi,,π€£π€£π€£π€£
Ushawahi kuona ugomvi wa wapendanao wewe?? π€£π€£π€£π€£kumekuchaaaa πππ
yani watu wanaleta mdzezo na pesa za wakingaππππππππ wee shendrwaaaa
Tunaongea km tuna mapengo, na usiombe utukute tunadai pesa weeh
yaaan huu uzi sitoki leo sitaki kusimuliwaπππyan kabla mods hawajafanya yao niwe nimeonaUshawahi kuona ugomvi wa wapendanao wewe?? π€£π€£π€£π€£
Kivumbi leoooooo
ππππ Acha basiyani watu wanaleta mdzezo na pesa za wakingaππππ
ππππ Mi nitatoa ushindi wa mezani, sipendagi vurugu na maexyaaan huu uzi sitoki leo sitaki kusimuliwaπππyan kabla mods hawajafanya yao niwe nimeona
aseeee kuna uyo mama naishi nae mtaa mmoja ni mkinga hua anaongea ivo basi mwenyewe yupo comfortable hata kwenye kusanyiko m hua nainjoiii πππππππππππ Acha basi
unafkiri ntatia neno sasa,,labda unipe ruhusaππππ yaani nitanunua io vitaππππ Mi nitatoa ushindi wa mezani, sipendagi vurugu na maex
Unaanza kujihami, masuala ya umbea na udaku yanakujaje? Unafikiri unaweza kuniblackmail?Mwanaume kuwa mbea hata haipendezi, ww unajiona uko sawa?? Unabishana na ex wako hii kali π€£π€£π€£π€£
Haya lete huo udraaku ila tuwaombe mods mapema wasitupe ban. Halafu mimi dhaifu na mpweke?? π€£π€£π€£
Kwahiyo ww ndo uliyekuwa unanitoa huo upweke?? Em tulia Mh unajishusha vyeo na unaidhalilisha Arusha
πππ ila kitamu tunaongelea kooniaseeee kuna uyo mama naishi nae mtaa mmoja ni mkinga hua anaongea ivo basi mwenyewe yupo comfortable hata kwenye kusanyiko m hua nainjoiii πππππππ
We hamna kituππππ Mi nitatoa ushindi wa mezani, sipendagi vurugu na maex
πππ Vita yangu inanunuliwa na huyo huyo shemejio, kashanunua vita nyingi humu za kwangu. Na usishangae katikati ya ugomvi wetu akakugeuka π€£π€£π€£unafkiri ntatia neno sasa,,labda unipe ruhusaππππ yaani nitanunua io vita
Jipigie makofi umeshinda πππUnaanza kujihami, masuala ya umbea na udaku yanakujaje? Unafikiri unaweza kuniblackmail?
Nikutoe upweke gan, yes we ni dhaifu na mpweke. Kama nilisaidia kukutoa basi it's ok
Najishusha vyeo kwa nan? Na nilijipandisha vyeo kwa nan?
Wewe mwenye nacho tulia basi πππWe hamna kitu
Hiyo kunichachua ndio huwezi na usije ukajaribu unajua vile tulikua tumefika, itakula kwakoJipigie makofi umeshinda πππ
Ila Kantry bana!! Unajua tushagombana kitambo hukoooooo mwaka ushapita. Hapa kila nikijitahidi nikuchachue naona π yako nalegea nahairisha πππ
Maneno mengi na sifa, ili tu kuficha udhaifu ulionaoWewe mwenye nacho tulia basi πππ
ata najali sasa ππππππ Vita yangu inanunuliwa na huyo huyo shemejio, kashanunua vita nyingi humu za kwangu. Na usishangae katikati ya ugomvi wetu akakugeuka π€£π€£π€£
πππ Kwahiyo upo hapa kwaajiri ya kutoa siri zetu?? Haya zitoe zote usiache hata moja yani zote toa.!!Hiyo kunichachua ndio huwezi na usije ukajaribu unajua vile tulikua tumefika, itakula kwako
Mm nipo kuondoa unafki wako na nitauondoa, unajua ujinga uliofanya alafu ukiwa huku unajizima data.