Wee tulia tusimwage mchele kwenye kuku wengi hapa ππππ
Watu wana id wamefungua miaka 10 iliyopita na wanaziweka pembeni, mpk wakiona kumechafuka ndo wanazitumia.!!
Nimejibu comment ambayo inanihusu. Navuka misingi ya kiumeni? Hiyo misingi ni ipi?
Nakutoa mlio soon, wait and see but sina haraka
Hakuna wa kunituma na hizi tuhuma zako ndio ujinga unaoendekeza nao nitaukomesha. Chama kubwa Kama arsenal? Ww ulivyo dhaifu na mpweke hivyo? Subiri uone