Selfika na JF: Snap it. Show it


Muone πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ si unanijua, usije ukarudisha majeshi. Kwanza rafiki yangu Valentina unamtreat vizuri? Una mpya za kuniambia ama? Jack Palladino
Ina maana mm ndyo nipo singo muwe na huruma basi
 
Sawa sweetheart...
Uwe na usiku wenye mapepo na wanga wakikuchezea singeli...
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Mapepo Singeli wanacheza hivi kama iblisi Smart😁 πŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•ΊπŸ•Ί!
Wakicheza nawabinulia waichezee vizuri πŸ’ƒπŸ•Ί!

πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€
 
Kweli chakula mnacho cha kutosha, niliona kiroba cha Viazi 20k Mwaka fulani πŸ™Œ

Nikaribisheni Babu yenu nije nilime huko 😜
Shida huku killa mtu amelima
Hakuna wa kumuuzia mwenzie chakulaπŸ˜‚
Nimepita jana hadi roho ikaumia namna vitu vinauzwa bei ya chini
Ni hatariπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Huko Kyela ndiyo mipunga inavunwa
Bei kitonga sana,ndiyo muda wa kununua magunia ya kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…