Kumbe ulishatoa na Avatar!!! Ulikubwa na nini? Maana huishiwa mabalaa Ex. Nina maumbea kama yote π€π€π€π€π€π€π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Muone ππππ si unanijua, usije ukarudisha majeshi. Kwanza rafiki yangu Valentina unamtreat vizuri? Una mpya za kuniambia ama? Jack Palladino
Shida huku killa mtu amelima
Hakuna wa kumuuzia mwenzie chakulaπ
Nimepita jana hadi roho ikaumia namna vitu vinauzwa bei ya chini
Ni hatariπ₯π₯π₯
Huko Kyela ndiyo mipunga inavunwa
Bei kitonga sana,ndiyo muda wa kununua magunia ya kutosha.