Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli chakula mnacho cha kutosha, niliona kiroba cha Viazi 20k Mwaka fulani πŸ™Œ

Nikaribisheni Babu yenu nije nilime huko 😜
Shida huku killa mtu amelima
Hakuna wa kumuuzia mwenzie chakulaπŸ˜‚
Nimepita jana hadi roho ikaumia namna vitu vinauzwa bei ya chini
Ni hatariπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Huko Kyela ndiyo mipunga inavunwa
Bei kitonga sana,ndiyo muda wa kununua magunia ya kutosha.
 
Hayo ndiyo maeneo sahihi ya sisi Wazee kuishi, maana pamoja na kikokotoo hiki kipya kuathiri pension zetu bado unabaki na hela kidogo ya kumudu maisha (inflation rate huko ni Chini kuliko maeneo mengi ya Mjini) πŸ€—

Kingine ukihitaji kufanya mazoezi (Kwa sisi Wazee 😜) unaenda kuogelea Matema beach ama ile beach ya CDF Mwamunyange πŸ˜…πŸ™Œ

Nipe mwaliko nije nikusalimie kuvuna Mpunga huko Kyela 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…