Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,762
- 50,193
Mimi mwili wangu ni ile ya kina kagame, Sasa wewe mtoto wa kike nae upo kama kagame? Vya kushika havipo auKhe kma zangu tu 😀
Mimi mwili wangu ni ile ya kina kagame, Sasa wewe mtoto wa kike nae upo kama kagame? Vya kushika havipo auKhe kma zangu tu 😀
Tafadhali hii picha asiione Profesa Janabi 😜Wacha wee
Usifanye auze gari yake ili aende Mloganzila kwaajili ya kuongeza mzigo 😜Mimi mwili wangu ni ile ya kina kagame, Sasa wewe mtoto wa kike nae upo kama kagame? Vya kushika havipo au
Kwanini auze gari na wakongwe tupo aseme tu...dakika mbili nyingi uzito unabadilika kutoka 60kg to 72kg, 8kg panapo 4kg kunako lactoseUsifanye auze gari yake ili aende Mloganzila kwaajili ya kuongeza mzigo 😜
Nyie ndiyo wale Wazee wa Bandari mliokuwa mkiimbwa na Twanga Pepeta nini?Kwanini auze gari na wakongwe tupo aseme tu...dakika mbili nyingi uzito unabadilika kutoka 60kg to 72kg, 8kg panapo 4kg kunako lactose
Zanzibar mtani wangu 🤣😁
Sasa mgosi hawa mabinti tusipowapeleka mloganzila mapema itakuaje siku akienda maternity photoshoot si ataonekana huku ndo huku na huku ndo hukuNyie ndiyo wale Wazee wa Bandari mliokuwa mkiimbwa na Twanga Pepeta nini?
Mwingine ni Mzee Tresor Mandala 😅🙌
Mzee mwema nimebaki peke yangu 😜
Picha picha picha…
Picha picha picha…
Wekeni picha wakuu
Me roboti mkuu🤒🤒Na wewe weka
Kumbe wewe ndugu yake yunisi?Me roboti mkuu🤒🤒
Hahah😂😂😂Kumbe wewe ndugu yake yunisi?
Hahaha..............likiwa la asili ndiyo poa japo ya Kichina nayo si haba kuyatazama 😜Sasa mgosi hawa mabinti tusipowapeleka mloganzila mapema itakuaje siku akienda maternity photoshoot si ataonekana huku ndo huku na huku ndo huku
Location kama zile za airport hamna umbo utaacha kuona, sema saiv uumbaji ni kama upo updated hv kila ke nayemuona yupo vzrHahaha..............likiwa la asili ndiyo poa japo ya Kichina nayo si haba kuyatazama 😜
Juzi tukiwa sehemu ya kusubiria ndege kwenye mgahawa mmoja pale JNA alipita Dada mmoja wa Kisouth Afrika, alikuwa anabonge la Chura halafu linasheki, alikuwa amevaa kinguo kifupi mno (angekuwa Mjukuu wangu ningemwambia arudi ndani akavae nguo maana pale ni kama alikuwa uchi🙌)
Kulikuwa na Wazungu (Me) Wanne wakiwa wanaenda Zanzibar, alivyopita yule Binti wa Kisouth Afrika na Kwa ule mzigo jamaa macho yote Kwa yule Binti ( Japo Babu yenu nilijitahidi kuangalia pembeni kuepusha Pension yangu kwenda bure bure 😜)
Nikapata pointi Kwanini Matajiri wengi huwa ni Wazee 😜
😂😂😂😂Unatak nikkuhadithie nilivo eehMimi mwili wangu ni ile ya kina kagame, Sasa wewe mtoto wa kike nae upo kama kagame? Vya kushika havipo au
Nataka nikuone....ficha lips tu🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂Unatak nikkuhadithie nilivo eeh
Ni nzuri sanaMarahaba Mjukuu, habari za Jumapili?
Kwani umesharudi ile safari yako ya kufata bidhaa China? Usisahau kuniletea Kiko za Uchina, nimesika ni nzuri sana kutumia 😜
Babu huyo dada ilikuwa ni mimi 🤣🤣🤣Hahaha..............likiwa la asili ndiyo poa japo ya Kichina nayo si haba kuyatazama 😜
Juzi tukiwa sehemu ya kusubiria ndege kwenye mgahawa mmoja pale JNA alipita Dada mmoja wa Kisouth Afrika, alikuwa anabonge la Chura halafu linasheki, alikuwa amevaa kinguo kifupi mno (angekuwa Mjukuu wangu ningemwambia arudi ndani akavae nguo maana pale ni kama alikuwa uchi🙌)
Kulikuwa na Wazungu (Me) Wanne wakiwa wanaenda Zanzibar, alivyopita yule Binti wa Kisouth Afrika na Kwa ule mzigo jamaa macho yote Kwa yule Binti ( Japo Babu yenu nilijitahidi kuangalia pembeni kuepusha Pension yangu kwenda bure bure 😜)
Nikapata pointi Kwanini Matajiri wengi huwa ni Wazee 😜
Yale maeneo ni hatari balaaLocation kama zile za airport hamna umbo utaacha kuona, sema saiv uumbaji ni kama upo updated hv kila ke nayemuona yupo vzr
Hivi nyie mmekuaje matajiri mbona mm na uzeee wote USD 100k Sina
Hahaha..............ndiyo maana nilijikaza kuangalia pembeni ili kulinda pension 😜Babu huyo dada ilikuwa ni mimi 🤣🤣🤣