Selfika na JF: Snap it. Show it

Lina laana hili jiji
Mimi kuna mzigo wangu nafuata mjini niondoke zangu
Kasheshe kufika huko posta..
Sijui nizungukie Toangoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sitaki njia yenye maji kabisa
Uwezo wa kuvuka maji nimejitwika mizigo siwezi.
Hawafanyi delivery?
Hao watu si wampe boda?
Heri uingie gharama ila uzima uwepo.
 
Nenda kwa mguu [emoji1787][emoji1787]
Nipo Dar nipo Dar
Kumbe mko pembezoni mwa dunia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbezi hadi posta ni kuzunguka Mbeya nzima mara2 kwenda na kurudi.

Tupo miguuni mwa Daslama..ila heri huku milimani mafuriko hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…