Ccy majuzi kati nimelala gafla nasikia paaaaaah, yani sauti ni kama imelia nje tu hapo getini.
Hapo nishachanganyikiwa najua ni majambazi yanatoka kuingia ndani hivo, hapo nikajiuliza p
esa sina hao majambazi waje kufuata nin.
Kumbe ni nyumba ya jirani ccy walitaka kuvamiwa mwenye nyumba kapiga shaba juu juu๐ ๏ฟฝ๐๐๐๐