Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
😂😂😂 SiaminiView attachment 2932585
Kuna Vijana ukiwaambia hii picha ni ya Mwaka 47 watakataa 😜
Hello Tuesday 🥂
😂😂😂 SiaminiView attachment 2932585
Kuna Vijana ukiwaambia hii picha ni ya Mwaka 47 watakataa 😜
Hello Tuesday 🥂
Imagine picha ya Miaka 32 iliyopita, ndiyo mjue Babu yenu nimekula chumvi nyingi 🤗😜😂😂😂 Siamini
Hahaha...........useme shughuli za shamba zina imarisha mwiliIla pesa ni sabuni ya roho. Mzee una miaka 65 ila unaonekana kama 25 yrs. Shikamoo pesa
😂 We Mzee huu ni muda wako wa kula pension ma sio kukaa shamba.Hahaha...........useme shughuli za shamba zina imarisha mwili
Karibu tulime Mkuu 🤗
😂 Babu gani yupo hivi? Unatudanganya.Imagine picha ya Miaka 32 iliyopita, ndiyo mjue Babu yenu nimekula chumvi nyingi 🤗😜
Poker picha ipo wapi lkn?😂 We Mzee huu ni muda wako wa kula pension ma sio kukaa shamba.
Nimezoea kula double double yaani Pension pamoja na shambani.😂 We Mzee huu ni muda wako wa kula pension ma sio kukaa shamba.
Umri umenitupa Mkono Mjukuu, Babu yenu nimezeeka now 😜😂 Babu gani yupo hivi? Unatudanganya.
Mkuu unataka nikufe Kwa Presha nini, maana Umri huu Daktari amenambia nikae kulea Wajukuu tu na Bibi yenu😜Ng'ombe hazeeki main, unaonaje ukianza kula kiinua mgongo ma mtoto mzuri Kelsea Hana gharama sana maana huwa hasuki yeye ananyoa kipara kama mwijaku
May God bless you man
1947 ?View attachment 2932585
Kuna Vijana ukiwaambia hii picha ni ya Mwaka 47 watakataa 😜
Hello Tuesday 🥂
mchana mwema brother!
oky asante kwa ufafanuzi
Haya selfika sasa uzi hautaki story nyingioky asante kwa ufafanuzi
Vipi Mkuu huamini 😅1947 ?