Kwa mapishi hayo tusahau kuletewa Mkwe nyumbani π
Image anajua kupika kupita hata mimi π³ππΌββοΈπ€£
Wazee mta nipiga Sasaπ, sema mwambieni Nuzulati akubali marriage proposal yanguπKwa mapishi hayo tusahau kuletewa Mkwe nyumbani π
Kumbe siku ile ulipo nambia nikufundishe kupika njegere ulikuwa unanitega ππSiku uki kubali marriage proposal yangu, mama mkwe wako ana kufataπππ
Kuna siku nasikiliza nyimbo ya kichina, si unajua walivyo wazuri kwenye violin na sauti.View attachment 2918476
Charles kilian naomba tafsiri ya hii nyimbo, maana nimepiga bia ya 5 nakuta naanza kusikia huzuni Kila nikiisikiliza hii nyimbo π
Nilikuwa Serious kweli, halafu vipo ninavyo unguzaπ.Kumbe siku ile ulipo nambia nikufundishe kupika njegere ulikuwa unanitega ππ
We Utakuwa Master chef, mi msaidizi wako tuπ.Naogopa we unajua kupika kuliko mimi staki ππ
Mayday Adolphe Wangu Naja kwako Kutuliza moyo wangu mara Upendo unanifanya mjane wewe hai Mpenzi wangu niue wakati mzuri AdolpheView attachment 2918476
Charles kilian naomba tafsiri ya hii nyimbo, maana nimepiga bia ya 5 nakuta naanza kusikia huzuni Kila nikiisikiliza hii nyimbo π
ππππ Uduguu tuliza presha kwanza, kwahiyo leo kumwambia depal amchukue Miongozo umenuna tena.??Kaa Mbali na Ndumilakuwili anakuja kwako anachokonoa kuhusu fulani akitoka hapo anaenda kuyapeleka kama yalivo kisha yakule anayaleta kwako! Yani kutwa ye anahaha!
Mkimbie fasta huyo ni zaidi ya mchawi ! Na mchawi si lazima aroge
Kesho nayo siku wapendwa βοΈ
Msisahau kuchati na picha!π€³
Nimelia kwa uchungu mimiπππKwani miongozo ww mumeo?? Si ana mke wake jamani??
Mwanamke Mpana weweππNimelia kwa uchungu mimiπππ
Unaona sasa unatuonyesha kwapa la dela badala ya hipusi πKaa Mbali na Ndumilakuwili anakuja kwako anachokonoa kuhusu fulani akitoka hapo anaenda kuyapeleka kama yalivo kisha yakule anayaleta kwako! Yani kutwa ye anahaha!
Mkimbie fasta huyo ni zaidi ya mchawi ! Na mchawi si lazima aroge
Kesho nayo siku wapendwa βοΈ
Msisahau kuchati na picha!π€³
Umeanza Nuzu πππππNimelia kwa uchungu mimiπππ
Na leo tena?Uduguu tuliza presha kwanza, kwahiyo leo kumwambia depal amchukue Miongozo umenuna tena.??
Kwani miongozo ww mumeo?? Si ana mke wake jamani??
Halafu hebu sema usikike usipige jungu, wee funguka moja moja, piem yangu umejaa ww tu mama miongozo⦠huyo mwingine niliyemfata nani?! Na nimempelekea nini?? Una ushahidi??
Acha kujishtukia udruguuuuu
Hamna hata anayekusema, halafu mimi nikitaka kukusema nakusema na hii id yangu inayokupamba sawa???
Haya tupia hips tusafishe macho kwanzaβ¦.
Story na picha
Dah naona mikwaju ya maana pembeni.βοΈβοΈβοΈβοΈβοΈ
View attachment 2918524
Niko na uduguu wangu, ujue kanimiss kipenzi chake lamama ππππNa leo tena?