Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,441
Siku uki kubali marriage proposal yangu, mama mkwe wako ana kufata๐๐๐Utaoa kweli ๐๐
Basi ndo maana๐, itafute ni Kali mnoHapana siijui kaka ๐
Kwa mapishi hayo tusahau kuletewa Mkwe nyumbani ๐
Image anajua kupika kupita hata mimi ๐ณ๐๐ผโโ๏ธ๐คฃ
Wazee mta nipiga Sasa๐, sema mwambieni Nuzulati akubali marriage proposal yangu๐Kwa mapishi hayo tusahau kuletewa Mkwe nyumbani ๐
Kumbe siku ile ulipo nambia nikufundishe kupika njegere ulikuwa unanitega ๐๐Siku uki kubali marriage proposal yangu, mama mkwe wako ana kufata๐๐๐
Kuna siku nasikiliza nyimbo ya kichina, si unajua walivyo wazuri kwenye violin na sauti.View attachment 2918476
Charles kilian naomba tafsiri ya hii nyimbo, maana nimepiga bia ya 5 nakuta naanza kusikia huzuni Kila nikiisikiliza hii nyimbo ๐
Nilikuwa Serious kweli, halafu vipo ninavyo unguza๐.Kumbe siku ile ulipo nambia nikufundishe kupika njegere ulikuwa unanitega ๐๐
We Utakuwa Master chef, mi msaidizi wako tu๐.Naogopa we unajua kupika kuliko mimi staki ๐๐
Mayday Adolphe Wangu Naja kwako Kutuliza moyo wangu mara Upendo unanifanya mjane wewe hai Mpenzi wangu niue wakati mzuri AdolpheView attachment 2918476
Charles kilian naomba tafsiri ya hii nyimbo, maana nimepiga bia ya 5 nakuta naanza kusikia huzuni Kila nikiisikiliza hii nyimbo ๐
๐๐๐๐ Uduguu tuliza presha kwanza, kwahiyo leo kumwambia depal amchukue Miongozo umenuna tena.??Kaa Mbali na Ndumilakuwili anakuja kwako anachokonoa kuhusu fulani akitoka hapo anaenda kuyapeleka kama yalivo kisha yakule anayaleta kwako! Yani kutwa ye anahaha!
Mkimbie fasta huyo ni zaidi ya mchawi ! Na mchawi si lazima aroge
Kesho nayo siku wapendwa โ๏ธ
Msisahau kuchati na picha!๐คณ
Nimelia kwa uchungu mimi๐๐๐Kwani miongozo ww mumeo?? Si ana mke wake jamani??
Mwanamke Mpana wewe๐๐Nimelia kwa uchungu mimi๐๐๐
Unaona sasa unatuonyesha kwapa la dela badala ya hipusi ๐Kaa Mbali na Ndumilakuwili anakuja kwako anachokonoa kuhusu fulani akitoka hapo anaenda kuyapeleka kama yalivo kisha yakule anayaleta kwako! Yani kutwa ye anahaha!
Mkimbie fasta huyo ni zaidi ya mchawi ! Na mchawi si lazima aroge
Kesho nayo siku wapendwa โ๏ธ
Msisahau kuchati na picha!๐คณ
Umeanza Nuzu ๐๐๐๐๐Nimelia kwa uchungu mimi๐๐๐
Na leo tena? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Uduguu tuliza presha kwanza, kwahiyo leo kumwambia depal amchukue Miongozo umenuna tena.??
Kwani miongozo ww mumeo?? Si ana mke wake jamani??
Halafu hebu sema usikike usipige jungu, wee funguka moja moja, piem yangu umejaa ww tu mama miongozoโฆ huyo mwingine niliyemfata nani?! Na nimempelekea nini?? Una ushahidi??
Acha kujishtukia udruguuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna hata anayekusema, halafu mimi nikitaka kukusema nakusema na hii id yangu inayokupamba sawa???
Haya tupia hips tusafishe macho kwanzaโฆ.
Story na picha