Kaa Mbali na Ndumilakuwili anakuja kwako anachokonoa kuhusu fulani akitoka hapo anaenda kuyapeleka kama yalivo kisha yakule anayaleta kwako! Yani kutwa ye anahaha!
Mkimbie fasta huyo ni zaidi ya mchawi ! Na mchawi si lazima aroge
Kesho nayo siku wapendwa βοΈ
Msisahau kuchati na picha!π€³