Selfika na JF: Snap it. Show it

Ipo kama app tu ya zamani na wakati huo huo kama browser...

Inatumika fresh tu mbona...
Mimi kinachonishinda sana sana ni suala la notifications na comments kugawanyika katika pages, mi nishazoea kwenye app nascroll tu hadi chini comments zote zinakaa kwa page moja, kwanini wasifanye kama hivyo kwenye hiyo app mpya
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Aikooooo ya ny….!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…