Selfika na JF: Snap it. Show it

Ume sema huna chuki??

Hi tuna itafasiri vipi???, Ningoje nini, Kama vipi action ihusike
When you are ready, just tell me.
Mm sina haraka, naenda taratibu sana na utaelewa.

Usipanic kabisa. Uliona umetukana hadi wazazi wangu juzi? Uliona nikipanic?

Basi tulia twende taratibu, wewe tena una mambo meusi sana. Basi jua yapo wazi, hao rafiki zako wambea wenzio walishakuchoma.

Mlipiga sana umbea kwa bidada. Sasa mm ndio nilimuambia awapige block baada ya kuona mmezidi. Huwa nauchuna tu maana mengine ni aibu

Utanielewa, naomba usipanic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…