Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,079
- 95,693
Waliofanya ule ufungwe ni watu kushtaki na kuomba ufungwe.Ohhh oyaa una taka na huu uzuiliwe nini 🤣😂😂
We si ulisema una taka kuwa Kama Messi😀😀😀jaza jaza madem kwanza afu ndo uniite
messi hana dem?We si ulisema una taka kuwa Kama Messi😀😀😀
Ana mke, na Hana Tabia za ubeberu😀messi hana dem?
Ground zero una maanisha una zikwa au😁😀Waliofanya ule ufungwe ni watu kushtaki na kuomba ufungwe.
Ila huu tuseme kabisa ukiingia hapa ni ground zero 😄
Amani itawale, tUsi wachokoze🤒.Modee wanauzururia kimya kimya.
Una maanisha nini 😁
Watu wenye kujawa uchungu na Timu zisizo viwanja zaja.Amani itawale, tUsi wachokoze🤒.
👉 Tuzingatie sheria na ustaarabu
Mkuu hebu isome sentesi uliyo andika😀😁Watu wenye kujawa uchungu na Timu zisizo viwanja zaja.