Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe ni hivyo hapa ban zitatembea maana kumbe wenye Jf yao wanazingua ngoja nikimbieπŸ™†πŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΏβ€β™€οΈπŸƒπŸΏβ€β™€οΈ
 
@nuzul
Sema Kuna watu mabwege kweliπŸ˜‚πŸ˜, una iba I'd ya mtu ili iwejeπŸ˜‚πŸ˜
 
huyo dada tahira sana kazoe uswahili uswahili kama mchawi na kutungia story watu.. mtu anaomba vocha hadi za elfu tatu kwa wadogo zake kina Lenie kama sio mwehu ni nini hiyooo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Nuzulati
Acha apigwe tuπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜, tuta zika bahariniπŸ˜‚πŸ˜‚.
πŸ‘‰ Halafu kutwa ana jitia u gangsterπŸ˜‚
 
@nuzul

Sema Kuna watu mabwege kweliπŸ˜‚πŸ˜, una iba I'd ya mtu ili iwejeπŸ˜‚πŸ˜
dogo msengge sana.. anakaba hadi kivuli maskini katoto ka watu kateka ID kabadilisha password alafu kagoma kukarudishia.. kameishia kuwa kapenzi katazamaji.. Humu watu kama wanatongoza waende kivyao.. wasienze siasa chafu.. Mie sijawai date na mtu humu.. huko kitaa wadada wakali kibao.. why nije ku bet humu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….. hata huyo Depal mie nimejuana nae nje ya JF ndio nikaja Jf.. sasa hawa washirikiana wanakunya kunyaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…