Ntakua sina picha yakupost!πππ nilisahua kuchukua picha.. sa itakuwaje
π π π kesho nitapiga picha nitaacha videoNtakua sina picha yakupost!π
Yeahhh βΊοΈπ π π uliona eeeh.. nilitaka kutuma CIA
π π π ningeuza nyumba yetu na ule mgahawaYeahhh βΊοΈ
Kweli kuna umuhimu wa kuaga, resources zisije zikatumika vibaya!π
Ile nyama hata aioshe mapemaNna za Mlimani tu!π
Ila anazingua....hata kama ndio anachanganyikiwa na TV, si angekua anachemsha vitu vyake taratibu huku anaendelea kuburudika.π¬
Aisee, anapenda shari sana huyoπππAmeshauza ID sasa anakula maisha huko Peramiho π€£π€£π€£
kwa kweliWe endelea kuchezea bahati,π€£
Mjep mzungu,
Huwa haongei mara mbilimbili
Hapo ungezingua!!!!ππ π π ningeuza nyumba yetu na ule mgahawa
Kapo MbingaAmeshauza ID sasa anakula maisha huko Peramiho π€£π€£π€£
ningekulaumu sasa ππHapo ungezingua!!!!π
π€£π€£π€£π€£ Hopefully itasaidia!!Ile nyama hata aioshe mapema
Aweke kwenyw friji iendelee kukolea viungo hataki.
Anakuja kuitoa muda wa kupika ndo anaenda kuosha
Imepoa
Friji chafu linanuka
Ameweka hivyohivyo.
Ikifika jioni ndio anaibabua fasta kwenye gesi
Amemaliza.
Nilimwambia sister kifurushi kikiisha hakuna mtu kununua.
Akawa haelewi,
Juzi alivyokula njegere mbichi akanyoosha mikono juuππ
Ningelia sana!!π₯Ίningekulaumu sasa ππ
Mkubwaaπ€£π€£π€£π€£ Hopefully itasaidia!!
Ila anaonekana ni wale watu wanaopenda kufuatiliwa na kupigiwa kelele kila saa. Au bado mtoto sana?
tungebembelezana tu ππNingelia sana!!π₯Ί
Kubembelezana kungesaidia nini??π€tungebembelezana tu ππ
kufuta machozi tu ππ... au tungeomba waturudishie mali zetuKubembelezana kungesaidia nini??π€
Uduguuu wee mkinga wa makambako au mtwango? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Km anaweza aje uliona wapi mkinga karogwa??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babu nitamuota [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu niwacheee, eboooohBabu migambuti ananikimbiza udugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui nacheka nn, lolHee
Kwani Coca mmeachana?