Selfika na JF: Snap it. Show it

Ohh...hata sijaenda huko! Nikienda ntakuletea ubuyu!



Akigundua atafanya kwa hasira!
Za Nairobi ziko wapi?


Tushamwambia Anza kupika mapema ili umalize kwa wakati
Anapika shwaa
Nyama unakuta mbichi
Haandai mapema,anapika chakula kibichi kisa tv ambayo kutwa nzima anashinda kuangalia.

Sasa sasahivi kifurushi atakisikia redioni.
 
Dr Lizzy
Dr Lizzy

Yaani bila wewe haya mafenesi tungeyapata wapiii

Unamisika wewe kwanza tena bila ua alafu misosi inafuata

Ebu fanya mambo mama angu

Bila ua tafadhali😜
😊😊😊😊

Ungeniwelcome back na suprise ya selfie 🀳🏽 ungetisha sana. Hata nisingeona maua yangu yalipo!!!!😏
 
Za Nairobi ziko wapi?


Tushamwambia Anza kupika mapema ili umalize kwa wakati
Anapika shwaa
Nyama unakuta mbichi
Haandai mapema,anapika chakula kibichi kisa tv ambayo kutwa nzima anashinda kuangalia.

Sasa sasahivi kifurushi atakisikia redioni.
Nna za Mlimani tu!πŸ™‚

Ila anazingua....hata kama ndio anachanganyikiwa na TV, si angekua anachemsha vitu vyake taratibu huku anaendelea kuburudika.😬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…