Nije twende.. tupange ratiba.. but mambo yangu ndio huwa nayapeleka kwa utani utani hivyo hivyo.. usipo nijua unaweza ona nazingua.. π π π π ..
Poa.. .. Upo kule ? Nileteee kitu basi usiache ( kuna nyama flani hivi zina protein ya kufa mtu ) nikikumbuka jina nakutumia, kuna jamaa yangu huwa ananilitea πππ sasa hivi naomba uniletee weye
π π π ila kipindi kile hakukuwa na maluwe luwe kama sasa hivi.. ulinikwaza ningekuwa naweza kukumeza ningekumeza kupitia PM .. yalitoka Musoma yale
π π π ila kipindi kile hakukuwa na maluwe luwe kama sasa hivi.. ulinikwaza ningekuwa naweza kukumeza ningekumeza kupitia PM .. yalitoka Musoma yale