Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,815
- 10,702
😂😂😂siitaki hiyo aiseeeeHiyo tunza kwa matumizi yako ya baadaye🤣🤣🤣
😂😂😂siitaki hiyo aiseeeeHiyo tunza kwa matumizi yako ya baadaye🤣🤣🤣
Mkuu Ina onyesha mtaani kwenu mna okota hela😂🤣 The Boy Wonder.
👉 Mimi ndie waziri wa ubahili Kanda ya dhebeh
shingapi😋Lipa mahali
Na wewe uselfike sasa😂😂😂siitaki hiyo aiseeee
hayo matumizi yako ya baadae ni yapi😂😂😂😂siitaki hiyo aiseeee
Pamoja mkuu, tuzingatie yaliyo muhimu kwetu.Hapana kamanda, hata mimi huku kweti nabana kwasasabu life gumu kinoma-noma!
Huwezi amini sijala tangu jana. Sema tu, kuna baadhi ya mambo huwa nageuka Ponda-Mali Kufa Kwaja. Ila braza umeamua kukaza kote yaaani.Yote tisa, mimi nakukubali sana kamanda....
Peace Out ✌️✌️✌️
dah, unapoteza hela yako tu🤣 kanunue bible/quran
Milioni 10 si unaona mtoto cheupe anavyowakashingapi😋
Nashusha hapa ngoja niliwahi jua mapema mapema😂Na wewe uselfike sasa
Nashangaa kama weyee😂😂😂hayo matumizi yako ya baadae ni yapi😂
Kafie hukohahaa,
chaputa sihami🤣
Kaka kuongeza maarifa ni kupoteza hela??dah, unapoteza hela yako tu🤣 kanunue bible/quran
ni matapeli tu hao, watu waliofanikiwa hawahangaiki kuuza vitabu😂 hela tayari wanazoKaka kuongeza maarifa ni kupoteza hela??
👉Beside it's ok, kila mmoja na vipaumbele vyake.
Ni sawa, hatuwezi tukawa sawa katika mawazo.ni matapeli tu hao, watu waliofanikiwa hawahangaiki kuuza vitabu😂 hela tayari wanazo
vitabu vya shule havikufundishi kua tajiri🤣 havisemi 'believe in yourself'🤣Ni sawa, hatuwezi tukawa sawa katika mawazo.
👉Ila vipi hivyo vitabu vya shuleni, walio viandika hawakuwa na pesa??
naamini wewe ukiwa mwalimu wangu nitawapata boss😂Kafie huko
Utaishia kuitwa shemeji🤣
MIND
Mzee wa kupambania nipo live leo View attachment 2721570
Shuleni una fundishwa kusoma, kufaulu, ajiriwa na Kisha staafu.vitabu vya shule havikufundishi kua tajiri🤣 havisemi 'believe in yourself'🤣