Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkuu Ina onyesha mtaani kwenu mna okota hela😂🤣 The Boy Wonder.
👉 Mimi ndie waziri wa ubahili Kanda ya dhebeh
Hapana kamanda, hata mimi huku kweti nabana kwasasabu life gumu kinoma-noma!
Huwezi amini sijala tangu jana. Sema tu, kuna baadhi ya mambo huwa nageuka Ponda-Mali Kufa Kwaja. Ila braza umeamua kukaza kote yaaani.Yote tisa, mimi nakukubali sana kamanda....

Peace Out ✌️✌️✌️
 
Hapana kamanda, hata mimi huku kweti nabana kwasasabu life gumu kinoma-noma!
Huwezi amini sijala tangu jana. Sema tu, kuna baadhi ya mambo huwa nageuka Ponda-Mali Kufa Kwaja. Ila braza umeamua kukaza kote yaaani.Yote tisa, mimi nakukubali sana kamanda....

Peace Out ✌️✌️✌️
Pamoja mkuu, tuzingatie yaliyo muhimu kwetu.
👉Ila sema kweli, hujala toka jana kweli mkuu🤔 The Boy Wonder
 
Back
Top Bottom