mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,936
umeongea bonge la pointWivu
umeongea bonge la pointWivu
Kigoriii 🤗😁Mimi ndio maana movie za kihindi ni uwongo mwanzo mwisho kuna mda zinaboa sio 😬
umejuaje ni dume🤣Email SI ulipewa🤣😂😂, Basi ka enjoy🤣
Hahah alikutana na papaiBora uwe wivu, ye kapewa email ya lidume aka lichakate🤣😂😂
Kigoriii 🤗😁Selfikee ipi tena mpendwa si nimeweka 😁😁
Alhamdulillah sema tu sijapata Hela BadoKama wewe aunt
aisee🤣 utulie sasa
Mimi karibia nitasusa nibaki na mwenzangu derini mwenyekiti wa chama Cha walioachwa 😀😀😀
Yaani ukiangalia Turkish drama haziboi kila siku wana jambo jipya ila njoo huku India mwenzi mzima Devi anazunguka kula chakula cha usiku😬😬Mimi karibia nitasusa nibaki na Mchepuko mwenzangu derini mwenyekiti wa chama Cha walioachwa 😀😀😀
😂😂😂Anacheka Cheka tu kama fala 😂😂Yaani ukiangalia Turkish drama haziboa kila siku wana jambo jipya ila njoo huku India mwenzi mzima Devi anazunguka kula chakula cha usiku😬😬
Kigoriii 😁Yaani ukiangalia Turkish drama haziboa kila siku wana jambo jipya ila njoo huku India mwenzi mzima Devi anazunguka kula chakula cha usiku😬😬
Ahhhh naona Ume Zama,😂😂🤣aisee🤣 utulie sasa
Siku utakapo nambia una Id ngapi humu nitaweka ya ukweli 😬Kigoriii 🤗😁
tabia yako hiyo ya kuita watu mashoga ndo inanichekesha🤣Ahhhh naona Ume Zama,😂😂🤣
Kigoriii 😁Siku utakapo nambia una Id ngapi humu nitaweka ya ukweli 😬
Kijana USI nitafutie ubaya😂🤣🤣, Nani nime muita gasho🤔tabia yako hiyo ya kuita watu mashoga ndo inanichekesha🤣
utakuja uumie
Yaani unge kuwa jirani yangu, unge juta😂🤣🤣Siku utakapo nambia una Id ngapi humu nitaweka ya ukweli 😬
We ndoa yao ilienda mwenzi mzima hapa nasubiri ya Asia vinginevyo kwa sasa ningekuwa kwenye usingizi mzito😬😂😂😂Anacheka Cheka tu kama fala 😂😂
Kigoriii 😁We ndoa yao ilienda mwenzi mzima hapa nasubiri ya Asia vinginevyo kwa sasa ningekuwa kwenye usingizi mzito😬
endelea tu na uswahili wako😂Kijana USI nitafutie ubaya😂🤣🤣, Nani nime muita gasho🤔