Umenyweshwa chai tena imepoa mwali wangu
Hizo details unazotoa zote za uongo, Shem hayupo Dar achilia hiyo shekilango
Hao wamekulisha ndaza, waambie wakupe umbea wa kweli!! Ungeniambia wamehongwa vocha za jero jero mwali wangu nisingekataa hata kidogooooo!!! Kwa hili NIMEKATAA