Selfika na JF: Snap it. Show it

uduguuu unatishwaa na michepozzz? Mama mijengo mbna sio shida zetu.

Kumbe uongo udugu kaendelee kuulilia tyuu


Mimi nikajua exclusive kumbe wadangaji wa vocha wamemjaza maua maneno tupu

Katombeke mdogo angu wasikukaushe uzazi
Ngoja na mie nikamchungulie mzee wa Yanga leo ana hasira wamefungwa sijui km nitapewa
 
uduguuu kwann unamkataaa mke mwenza wa mdogoo akoo??

Sio vizuriii bhanaaa, khaaah
 
nakojoaaa, woiiiiiiih
 
Shem maneno magumu hayo
Ushatupia vitu wewe😁
 
afu inaweza kuwa kweli, tatizo mie ndo mama mjengo, funguo na file za maisha ya shem wako ziko kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…