Selfika na JF: Snap it. Show it

Tunashindana na Simba kufunga mabao kama ya penati vile[emoji1787][emoji1787]

Na mfunge ukazie hasira, inakuwa km unaifunga Simba kwa mchezo wa marudiano [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shem maneno magumu hayo
Ushatupia vitu wewe[emoji16]

Shem vitu bado sijarecover vzr, dr kanikataza mimba inaweza kutoka hapa hata simu naforce kushika, huoni Kantri anavyonichunga leo!!! Anaogopa mtoto wake asije kutoka bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu inaweza kuwa kweli, tatizo mie ndo mama mjengo, funguo na file za maisha ya shem wako ziko kwangu.

Watasubiri sanaa, wavute mikeka wakae [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shem vitu bado sijarecover vzr, dr kanikataza mimba inaweza kutoka hapa hata simu naforce kushika, huoni Kantri anavyonichunga leo!!! Anaogopa mtoto wake asije kutoka bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu na vibendi vyao mjiniii.
 
Haswaaaaa!!! Watandike jamvi walaleee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hatuachiki leo wala kesho
Afu wanaume wenyewe sasa wanavyowakana hadharani me ndo nnapochokaga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila sijasema anaishi dar mie ila tuache hayo ipo siku nutakuambia vizuri
 
Swali nipo serious tuache utanj kuna mtu anaweza kumkausha mtu kizazi ?? Msaada tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…