Selfika na JF: Snap it. Show it

nimedanganya basi
Mwone naushamba wako ulivuta bangi ukaanza kucheka ukaonyesha mali ukaanza kusema nasikia joto ukavua nguo zote ukaanza kimbia kila mahali,kuna mahali kama kichaka ukaingia kumbe ni nyumba yA kichaa maana ulikuja kwa kishindo akamka aisee alikukimbiza mpaka pale ulipovutia bangi 🤣😊😂😂
 
Shem kama shem
Natafuta House girl naamini utanifaa

Ila ibaki tu kwamba wewe ni bonge la hustler
Mungu akubariki zaidi na biashara zako zishamiri zaidi unatupiga gepu kubwa sasa sisi waajiriwa
 
Shem kama shem
Natafuta House girl naamini utanifaa

Ila ibaki tu kwamba wewe ni bonge la hustler
Mungu akubariki zaidi na biashara zako zishamiri zaidi unatupiga gepu kubwa sasa sisi waajiriwa

shem nawe unamsikiliza Kantri??? Nia yake usinipe vocha hana lolote, me nipo hapa nafaa kabisa kuwa h/girl wako, mwambie yeye atatulia na kuweka mguu juu me namfanyia kila kitu!!! Yeye kazi yake kukupa viuno vya kingoni

Afu nimekumbuka ujue mkeo hana jersey ya Simba lkn ana mdomo mrefu kuwaponda Yanga
fanya umnunulie
 
Shem kama shem
Natafuta House girl naamini utanifaa

Ila ibaki tu kwamba wewe ni bonge la hustler
Mungu akubariki zaidi na biashara zako zishamiri zaidi unatupiga gepu kubwa sasa sisi waajiriwa
Nakusalimia mtu wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…