Mwone naushamba wako ulivuta bangi ukaanza kucheka ukaonyesha mali ukaanza kusema nasikia joto ukavua nguo zote ukaanza kimbia kila mahali,kuna mahali kama kichaka ukaingia kumbe ni nyumba yA kichaa maana ulikuja kwa kishindo akamka aisee alikukimbiza mpaka pale ulipovutia bangi 🤣😊😂😂
maake kwanza ncheke, mimi huyu huyu cute au unamsema jirani yangu???
Me mmbea wa jf sina lolote nipo kusubiri vocha za boss kubwa Mjep
Jamani hakuna anayehitaji h/girl nipige deiwaka nipate bundle la kuzurula jf kula ubuyu
shem nawe unamsikiliza Kantri??? Nia yake usinipe vocha hana lolote, me nipo hapa nafaa kabisa kuwa h/girl wako, mwambie yeye atatulia na kuweka mguu juu me namfanyia kila kitu!!! Yeye kazi yake kukupa viuno vya kingoni
Afu nimekumbuka ujue mkeo hana jersey ya Simba lkn ana mdomo mrefu kuwaponda Yanga