Selfika na JF: Snap it. Show it


 
Best diss track to mshamba_hachekwi 🤣😂🤣😂
 
una sura mbaya kama ukuta
Wewe ni mshamba mpaka ulivyoambiwa fanta orange hatuna hapa ukaanza kulia kama mtoto, unakumbuka juzi ulinunua condom ukizani ni puto, wewe mshamba ulinunua bia ukizani pepsi ulivyokunywa ukalewa ukaanza kulia mwenyewe sindo ukapanda lile gari la wasanii ukaenda nao katavi ukaachwa mbugani eti nimeenda kusalimia nduguzangu isingekuwa tanapa saivi ungekuwa imeenda hiyo
 
Hivi maua kwann unaniringia na huo ubuyu wako? Mpk mimba yangu itoke ndo ufurahi?
Emu lete hiyo habari ya aliyepigwa mimba na huyo jamaa ake nakusubiri


Acha kunifanya mmbea niteseke bas shosti
Da maua Ana kisirani tangu juzi
Au Ana mimbaaaa 😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…