Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,154
- 55,648
Ebu njoo tunywe lubisi, tusherehekee wkend 😀Ameanza mazarau enhe 🤣🤣🤣
Ebu njoo tunywe lubisi, tusherehekee wkend 😀Ameanza mazarau enhe 🤣🤣🤣
Hilo la kuja home, SI kubaliana nalo🤣😂🤒😅😅😅 hiyo ya kulipiwa kabisa mahala ng'ombe zisizo pungua 50 mzee .. Nuzulati moja ya mabinti wanatunza usichana wao aise.. itabidi aje home nimpe zawadi yake
kwa mtamaliza makreti au 😀 😀Atupe location tukamuonyeshe ubaharia wetu vizuri, hatujui huyu???![]()
Ebu nishauri anafaa kuwa mke au hafai? 😀






😅😅😅😅... Nuzulati usiwe na mashama nae.. anakuja chukua na kusepa.. usichana wake hakuna wa kumiharibiaHilo la kuja home, SI kubaliana nalo🤣😂🤒
Rubisi na nyama choma🤫😋Ebu njoo tunywe lubisi, tusherehekee wkend 😀
Nitamleta ili usalama uwepo😂🤣😁🤒😅😅😅😅... Nuzulati usiwe na mashama nae.. anakuja chukua na kusepa.. usichana wake hakuna wa kumiharibia
vipi itapanda kweli?Rubisi na nyama choma🤫😋
mtaalam wangu.. fanya kuibless jumapili ya leo basiNa k vant kubwa 5 tuwekee![]()
usalama ni 100% 😅😅😅.. hiyo nitaalika na wageni wengine ili shetani asiniingize majaribunuNitamleta ili usalama uwepo😂🤣😁🤒
Why notvipi itapanda kweli?
Mnitumje nauli kabisa😂🤣😂🤒usalama ni 100% 😅😅😅.. hiyo nitaalika na wageni wengine ili shetani asiniingize majaribunu
hilo ongea na Nuzulati atakupatia nauli 😅😅Mnitumje nauli kabisa😂🤣😂🤒
mtaalam wangu.. fanya kuibless jumapili ya leo basi
Ebu njoo nyumbani tufanye maandaliziWhy not
ka hela ka nyagi mkuu au kitoko 😬😬Nikubless na nini?
Basi tuahirisheeee😂🤣🤣, nikija nitamleta mwenyewe in sanga titi voice😂🤣🤣hilo ongea na Nuzulati atakulatia nauli 😅😅
Tafuta location twende 😀 😀




