Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,567
- 235,393
Waheshimiwa wateja wanguMgonjwa na misumari ya bati wapi na wapi? Hapana mwambie anibebee hata ceres juice ya baridi inanitosha kumezea dawa [emoji12]
Ahahahah chachandu nin sioWewe ushindwe [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi wa uswazi mbona tumezoea vichwa vya kuku na viazi vya kukaanga
Hekaheka za ujana kaka
Leo ijuma shemeji nakuomba mpe tabasamu Cute Wife acheke amesema anataka martine rose wine
Oh utaki u fresh za mia mbili zile?
Sawa ndio namwambia hapa atuachie na gar leo na sisi twende karambezi pale tusafishe machoNakazia [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Mwambie shem wako
Leo anataka uongeze kidogo tuBabe wangu tunapeana raha siku zote [mention]Cute Wife [/mention]
Babe wangu tunapeana raha siku zote [mention]Cute Wife [/mention]
Ahahah wewe unaogopa kuchwekwa au bas nakutengenezea ya ukwaju naloweka tu af nachuja naleta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hospital niliolazwa watanicheka!!! Hizo nitakunywa nikitoka
Sawa ndio namwambia hapa atuachie na gar leo na sisi twende karambezi pale tusafishe macho
Leo anataka uongeze kidogo tu
Usijali nipo natimiza majuku yangu hapa π[emoji23][emoji23][emoji23] Sawasawa chawa wangu hakikisha tajiri anatoa pesa za kula bata
πππ boss acha bas nipambanie twende karambezi sijatoka mda sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dogo una udugu na chawa wa Kwevo
Ahahah wewe unaogopa kuchwekwa au bas nakutengenezea ya ukwaju naloweka tu af nachuja naleta
Usijali nipo natimiza majuku yangu hapa [emoji23]
Maana nikikaa nikiinuka nawazaπππππNitaku piem mpishi wetu wa selfika [emoji8]
Jack Palladino shemeji ambaye nakutambua hapa mpaka kwa Mungu baba ukoo juuu Cute Wife anataka kurefresh mind kidogo na martine rose mnunulie pale karambe na anaomba ubook meza mapes kabis fanya kweli