Selfika na JF: Snap it. Show it

Lala mdogo wangu usisahau kuwaombea hao watu Mungu awaponye hiyo roho ya chuki na makasiriko iwatoke

Sema aunt kazingua🀣🀣
She should act her age, hizi kutukanana na kudhalilishana ni ujinga na utoto.
Among all people sijategemea kama ni yeye. Anafanana sana na dada angu mmoja hivi, ila daaahhπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
I dunno why am laughing ila tuseme amina
IgweeeeeeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
tuchochee kuni wote watoke huko tujue mbivu na mbichi mambo ya unafikia na kuanza pakazia watu mambo ya ajabu ajabu haifai wasomi wazima wamama na watoto wao alafu waakuwa chenga chenga sio nzuri aisee.. inasikitishaa sanaa
Ndio hapo sasa, washaanza kutajana
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mie simooo.. shangaziii umelianzisha mwenyeweeee..
Mjomba walinikwaza yani kikwelikweli alafu nilikuwa na stress za vikoba nadaiwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila nilishasamehe nilipofanya Kosa kutaniana na mtu kuongea na mtu nimejifunza dramazao siziwezi kwakweli Mungu awasaidie wapate ela waanze kudiscuss biashara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Among all people sijategemea kama ni yeye. Anafanana sana na dada angu mmoja hivi, ila daaahhπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
I dunno why am laughing ila tuseme amina
IgweeeeeeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Umdhaniaye ndiye 🀣🀣

So sad kwakwel, nacheka japo inasikitisha
 
tuchochee kuni wote watoke huko tujue mbivu na mbichi mambo ya unafikia na kuanza pakazia watu mambo ya ajabu ajabu haifai wasomi wazima wamama na watoto wao alafu waakuwa chenga chenga sio nzuri aisee.. inasikitishaa sanaa
Wammaa tumekosa tusamehe πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nimechokaa kabisaa nyie wamama humu tunategema muwe nguzo kumbe ndio.mnatumia tuvijana hutu kuja kutukana na kuzushiwa watu humu maneno.. daah! mashangazi hamna maana walahiii πŸ₯΄πŸ₯΄πŸ₯΄
Mjomba naomba nilale kesi ngumu Mimi sichelew kulia πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€waja wakiamka hapa patakuwa hapatoshi
 
Najua kuhesabu namba moja mbili tatuuuu
Huku tano na huko tanoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Chezea wewe, oohhooo lazma uwe na stress afu ukumbuke ex yuko darπŸ˜‚
Angekua na hela kidogo angekodisha Wagner Group, sidhani kama ningekuwepo dunianiπŸ’”
 
Lala mdogo wangu usisahau kuwaombea hao watu Mungu awaponye hiyo roho ya chuki na makasiriko iwatoke

Sema aunt kazingua🀣🀣
She should act her age, hizi kutukanana na kudhalilishana ni ujinga na utoto.
Huyu shangazi katoa bokoo.. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… haendani na hii movie
 
Daaah! wame fail kinoma noma yaaani.. mtu mzima kutuma tuvijana hutu kutukana watu dah
Na hizo picha ni zilitumwa kitambo selfika, I think mwaka jana sasa jiulize huyo dogo kazitoa wapi kama hajapewa na aunt yake asambaze kutuchafua.

I just feel sad n sorry for her, she is so beautiful kutuma wajinga wajinga watukane na kuchafua wasichana wenzake bila kujua anajichafua pia yeye
 
Si mlikua mnasema pisi nyembamba wana mikunjo ya roho, oohho sijui wana roho mbayaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa dada yenu mbonaπŸ˜†
Au basi, Mungu ponya roho za watu wenye maumivu sababu ya wengine
AminaπŸ™
Dah! Nimekosa mimi , nimekosa mimi mdogo wangu mzuri 😊😊😊 Sikategemea hii kitu dah.. kumbe tunacheka hapa .. nyuma ya stage wanatuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…