Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,842
- 57,491
Shukrani kwa ukarimu Mjukuu, nitakuja na Bibi yako ili anisaidie kuniongoza Njia.Karibu sana ukija nitapika kingine sio Tena kiporo
Maana nina miezi 2 sasa miwani yangu ya macho imevunjika 🤪
Shukrani kwa ukarimu Mjukuu, nitakuja na Bibi yako ili anisaidie kuniongoza Njia.Karibu sana ukija nitapika kingine sio Tena kiporo
Karibuni sanaShukrani kwa ukarimu Mjukuu, nitakuja na Bibi yako ili anisaidie kuniongoza Njia.
Maana nina miezi 2 sasa miwani yangu ya macho imevunjika 🤪
Fanya kunibless vochaEbu tuone...😜
Nakuja chapBasi nimekupa ruhusa ukuje
Sgrn swbshLenie njoo nikuulize swali basi
Nipo hapa na tenge lakijani linanukia dove halafu namaji bado sijafuta na geiti wala mlango sijafungaNakuja chap
Lugha gani hiyoSgrn swbsh
Unamuonaje Mjep ni kifaa au ndio basi tena 🤣🤣Niulize shoga angu kipenzi
Nilikuambia nikichaaLugha gani hiyo
My personal discovery😂🤒🤗Lugha gani hiyo
Binti Maua Mambo🙃Nilikuambia nikichaa
Kumbe nikijana nilizani mzee fulani
Bonge moja la handsome na anae mawe, atakufaaKumbe nikijana nilizani mzee fulani
Ya kweli ndugu??Bonge moja la handsome na anae mawe, atakufaa
Unamuonaje Mjep ni kifaa au ndio basi tena 🤣🤣
Aiseeee.....Nipo hapa na tenge lakijani linanukia dove halafu namaji bado sijafuta na geiti wala mlango sijafunga
Na wewe si uniponde ponde kidogo 😁😁