Ahaaaha shemeji yangu alinilea vzr kama mwanae dada angu kaolewa na kazèe uko kinamtunza vzr anakazi ya kubadil magari tu ningekuwa naka kwake now ningekuwa mbali
Ahaaaha shemeji yangu alinilea vzr kama mwanae dada angu kaolewa na kazèe uko kinamtunza vzr anakazi ya kubadil magari tu ningekuwa naka kwake now ningekuwa mbali
Ahahahahh mashemeji waapewe maua yao sana alikuwa ananiita ofisin kwake anawatambulisha huyu kijana wangu kuna siku nilifika ofisn nikamkuta secretary mpya akaniuliza huyu nan yako nika wambia shemeji yangu alishangaa ety anawezaje kuwa na shemeji kama wewe ππππ niliona aibu
π π π π nahisi wenye kujua Dahan alipo ni mshamba_hachekwi au Mwachiluwi maana hawa ndio walikuwa wakeshaji hodari.... Bantu Lady sidhani.. alishawatupa kule usiku wa manane