Selfika na JF: Snap it. Show it

Ataenda kunitambulisha mwenyewe shem ako, wewe huchelewi kupanga mbwinu na bi mkubwa mnimwagie tindikali
Ahahahah bimkunwa akiweka dau kubwa tu mimi nakuuza kabisa si unajua mimi napesa damu damu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ahahha mimi now namtaka ………….
Habari yako ndugu yangu Mwachiluwi, nime kukumbuka Sana best angu.
πŸ‘‰Vipi u Hali gani rafiki, namaanisha na SI unafiki.
πŸ‘‰Uko wapi urafiki wetu ulio anzia jukwaa la usiku wa manane.
πŸ‘‰Ni mimi rafiki yako mpendwa l, I mean no malice to nobody
 
Mxxiewwww mimi na wanaume choka mbaya tofauti


Mimi nataka matajiri hata akikufumania haji kukuletea uzi wa masikitiko ndio kwanza anakupiga na vibunda
Ahahahahah kwahiyo unataka nikikufumania nikupe pesa ya pongezei?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…