Mmhh kaka naona hunitakii mema,, mie nilivyo muoga wa maji na sijui kuogelea safari ya masaa 2 naanzaje kupanda majahazi ya wavuvi na yanavyopataga ajali karibu kila siku yale??
Majahazi labda nikiwa naenda Mbudya au Bongoyo dakika 20 ndiyo nitapanda ila siyo Zanzibar wala Pemba