Mmh na ww pia auntiee mzuri ππππ€π€π€π€π€π€
Ulale kama mtoto mdogo malaika wa ulinzi akulinde
Huna baya lala na uzuri wako kesho nayo ni siku ukamuabudu Mwenyezi Mungu aliyekuumba ukawa mzuri hivyo.
Unangaa kama dhahabu. Malkia wa sheba kweli kweli.
Sleep well auntiee π΄π΄π΄π΄π΄