Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee usinambie mnywanii [emoji16][emoji16][emoji23]! Nyakiboo kuna wazee wa kamati mkivamia mjipange haswaa mnaeza pelekwa Burundi bila nyie kujijua mnywanii Takriiiiiiirrrrrrrrrr! [emoji1783]
Nimekumic shogileee wa ukweeee, mie nawee 4reverrrrrrrr!!! [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tenaa?? Woiiiii

Kanipa na nimemwambia asitoe mahari uende tu ukaulilie kwa raha zako mdogo angu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shem Mjep ahsante kwa lile livoucher, huna baya tajiri [emoji4][emoji4][emoji4]
Piem leo imependeza mpk imependeza tena

cocastic nimekupa hata mia usitoe
@Mjep
Na mie natakaa vochaa kubwaa, sikubaliiii nitambishiwe hiviii, yaan ufanyee utume mara 2 yakee.

Nasubirii hivyooo. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kanipa na nimemwambia asitoe mahari uende tu ukaulilie kwa raha zako mdogo angu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si umuambie, anitumiee na miee
 
@Mjep
Na mie natakaa vochaa kubwaa, sikubaliiii nitambishiwe hiviii, yaan ufanyee utume mara 2 yakee.

Nasubirii hivyooo. [emoji23][emoji23][emoji23]

Khaaaaaaa!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo vocha pamoja na mahari yako kaunganisha
 
Khaaaaaaa!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo vocha pamoja na mahari yako kaunganisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikaulilie mie, vocha ule wewee?
Tutaenda kusaidiana uduguuu, khaaaah.

Hebu muambie afanyee kunipaa na miee eboooh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…