YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Kasema had mmoja afe 😂😂😂na akiniacha namloga😂😂Na mi ndio mchawi mwenyewe![]()
Shem umechukua nafasi ya mwijaku😁😁ukifa huozi
😂😂Kwakweli sikubali na nikikubali malaika watanishangaa😂😂
Maboss wanakuja😀 tuliaAhsante tajiri kajua kunifurahisha, haya mwingine ajitokezee![]()

selfika mshamba nitume muamalaAhsante tajiri kajua kunifurahisha, haya mwingine ajitokezee![]()
Maboss wanakujatulia
yote haya ili ufurahishe mashangazi😂View attachment 2706432
Muda wa kupunguza kitambi
Sasa huyu kichaa chake Nakijua nikipata kichaa mpya nitachanganyikiwa napambana kma zuchu😂😂😂Unakubali kuteseka sio![]()
Mkaongeze vocha mrembo cute wifeUnaniita au?
😂😂😂Alafu kweli wanatuacha vijanawenzao tunateseka. Na masponsa na vitambi😂😂yote haya ili ufurahishe mashangazi😂
na sisi tunataka matunzo bana😅😂😂😂Alafu kweli wanatuacha vijanawenzao tunateseka. Na masponsa na vitambi😂😂
Msitufanyie hivo 😂😂😂na sisi tunataka matunzo bana😅
yote haya ili ufurahishe mashangazi![]()









nafikiria bila mashangazi ningeishi vp dahh mashangazi mbarikiwe sana mna pepo yenu kama hili Lishangazi langu la goba likifa na mm nakufa naye tunazikwa wote 


mashangazi yanajali afu anakupa yooote bila sharti😋Msitufanyie hivo 😂😂😂
😂😂😂🙌nafikiria bila mashangazi ningeishi vp dahh mashangazi mbarikiwe sana mna pepo yenu kama hili Lishangazi langu la goba likifa na mm nakufa naye tunazikwa wote
![]()
Kumbe eeh😀😀😀mashangazi yanajali afu anakupa yooote bila sharti😋