Selfika na JF: Snap it. Show it

Mheshimiwa DC nakuona unavyojimwaya mwaya hapa vipi bado unalea damu za wanaume wengine
. Alafu embu nipe account ya sweet mangi ig maana nimeisahau na ubaya siku mfollow kabisa View attachment 2702470
Unapaswa kufahamu mm sio mnyonge chagua wa kuwaonea, cocastic ukianzisha vita na mm haitaisha. Mara ya mwisho ulipigwa ban. Basi ngoja twende vile unataka
 
Unapaswa kufahamu mm sio mnyonge chagua wa kuwaonea, cocastic ukianzisha vita na mm haitaisha. Mara ya mwisho ulipigwa ban. Basi ngoja twende vile unataka
Makubwa duu nimekuwa coca tena asee.

Hii mbona kali. Anyway utajua hujui. Tu
 
Countrywide huyu mtoto kaishia wapi aseee.


Chinga la CPA unazani kuliweka ndani ni mchezo
View attachment 2702478
Cocastic hizi picha unaweka za watu ambao wapo zao na mambo yao huko ni ufala. Hadi hapa umefeli, na aliyekulisha hayo matango pori kaa nae tena vizuri

Hadi hapa mm nitakua mshindi maana unaoteaotea tu, Ila najua wewe ni nguvu kazi ya taifa iliyopotea.

Hata matokeo ya sensa sio halisi, wanaume tupo wachache. Sijui nani alikuhesabu huu upande wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…