Duh with kind of vision🤒, tuje tupate kiongozi, baba, au hata Kaka🤔.
👉Acheni kudanganyana young bro,
👉Eti kazi ya sehemu za Siri ni nini??, For real bro una ongea Kama ume meza mayai vinza 🤒
👉Yaani kujiweka uchi hadharani, ndo u supa star🤔
Mimi kama muongo nakupa hii chini ya kapeti ndani ya mwezi uhu kuna wadada wa wili wamejipanga kukutafuta kila mtu na gia yake muhimu tu walale na wewe then watoe feedback lakini mmoja kazamilia kukuroga kabisa
Watu maarufu wanakuwaga mazuzu sana na kupenda vya dezo kuna mtu alitegemea dimpoz iko siku atakuwa choko?
Afagilii itikadi zake na sio Fd q pekee kuna yule anae piga wasanii yupo cloud siku iyo alikuwa anataka kumshushia
Kipigo juma pale clouds bila kwisa angepigwa
Ahahah shida yao hao wanakuaga kama washamba wa k kuna mmoja alimtoa dem mimba uku amemshikia mguu wa kuku madem wengi sasaiv wamepagawa wanajua kumzalia star maisha kayapatia