YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
We SI mwenyekiti wa chama Cha mkono bao🤒🤒 mshamba_hachekwiah wapi mwachiluwi ana mchumba tayari😂
nimebaki mimi tu
Kwema bro?? Jack PalladinoUnatumia kinywaji gani hapo?
haya bana mzee wa miosho mbalimbaliNitakupa formula wala usijali
we chapa kazi, vibinti ni vitamu siviachi ng'o😅
Na uli jiita genius wa malavuness🤒🤒, sa hivi ni zaidi ya nyuki wa makaburini 🤒we mimi nataka formula hayo mengine achana nayo
Njoo niku uzie formula unayo taka, I'me thibitishwa na Adam Smith, na John Nash, 🤒🤒we chapa kazi, vibinti ni vitamu siviachi ng'o😅
hahha nachagua simu akili inanivurugaUnatumia kinywaji gani hapo?
Ahhahha duh acha tu nimevurugwa akili niliibiwa simu hapa natafuta simu wananitajia bei zaa ajabuKwan una haraka za wapi baba Paroko![]()
Kuna Google pixel 4 350k, free deliveryAhhahha duh acha tu nimevurugwa akili niliibiwa simu hapa natafuta simu wananitajia bei zaa ajabu
Ndio naingalia hapwKuna Google pixel 4 350k, free delivery
Wame kuambia Bei gani-??Ndio naingalia hapw
230kWame kuambia Bei gani-??
Miosho ni nn?haya bana mzee wa miosho mbalimbali
Just call me nowWame kuambia Bei gani-??