Selfika na JF: Snap it. Show it

Hayo ya kesho asubuhi
Jishikilie nakukumbusha tu, Mwanaume sio madomo wala Mwanaume sio kukaa kibarazani na wanawake kupiga umbea ulipo simu mpaka chupi na cha kunyolea vuzi umenunuliwa na walezi,

Jipange kuwa bora mwanaume sio sex tu na kutomgozana, jua baadae unataka kuwa nani hasa kama unataka kuwa malaya sawa ila otherwise change mtizamo na maisha yako dogo

Hao mademu unaopiga nao story wanapata mabwana sasa na wewe kama utapata bwana haya
 
sawasawa Andazi ukweli mchungu huu nimeupokea kwa mikono miwili βœŠβœŠβœŠβœŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š
 
Nategemea nisikuone ukicomment vijembe tena humu.
Sawa bro si comment vijembe tena nimeacha i swear πŸ’―πŸ’―πŸ‘πŸ‘πŸ’ͺπŸ’ͺ.

Umeniambia ukweli mchungu sana na nimeamua kukuheshimu maana umetumia lugha nyepesi bila matusi

I was carried away though. Hutoona vijembe vyangu popote pale tena.

Ubarikiwe mkuu. πŸ‘πŸ‘
 
Great Kijana
Nakujua kuliko unavyojijua
 
Afu mimi mpole sana ukiona nimempopoa mtu ujue tunafanya utani


Yaani mpk niutukane ujue umevuka mpaka wa kuheshimiana
Nilikua sijaona hizi hasira zako, IM SORRY. Najua pengine nimechangia wewe leo kuwa hivi

Hata kama kwa sasa we are not on good terms but doesn't mean that i moved on

I know you are too good, please be considerate and polite
 
Huu mwandiko unafanana kila kitu na cocastic, sijui kwa nini nawaza wewe utakua cocastic.

Cocastic ndio huyu penseli, na ndio bichwa komwe
 
Duh .........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…