Mimi hasira zangu zinakimbilia kwenye pombe, nikiwa nimekwazika nitashinda nalewa, nishasali sana kujiombea niache hii tabia nimeshindwa
Lakini hasira zikiisha nasamehe na zawadi nampelekea ila uharibifu lazima nifanye km yupo karibu
Nilichomaga nguo zake hakuamini na nikamfukuza usiku nyumbani kwangu hapo nishavunja na kioo cha gari. Mimi sijui hiz hasira zangu siwez kuzicontrol kabisaaa