Wala hata mkuu.
Tonnia ni auntiee yangu mbona na suala la mizigo ipo mingi sana it's not an issue.
Namheshimu, nampenda, namkubali sana tonnia.
Sasa kama hana baya na mtu nifanyeje sasa
Na uzuri anao tele. Yaani nisimpende hata bana.
Out of topic: Kwani mkuu ww hupendi mizigo