Selfika na JF: Snap it. Show it

Ina ladha kama juice ya strawberry Ila ndio ina alcohol 4.5

🤣🤣 Ni kweli jamani vitu vingine mtu unadhulumu nafsi.
Mwisho wa siku vitaeleweka tu huko mbele ya safari
 
Ina ladha kama juice ya strawberry Ila ndio ina alcohol 4.5

Ni kweli jamani vitu vingine mtu unadhulumu nafsi.
Mwisho wa siku vitaeleweka tu huko mbele ya safari
Kwanza Mimi kulewa siwezi.

Inauzwa sh ngapi?
Hata nikilewa kidogo si mbaya, Nina stress mbili tatu hapa, hiyo inaweza saidia.



Nilicheka
Eti wewe pombe hunywi
Mziki nao hutaki kusikiliza,kijana mdogo unajibana
 
Kwanza Mimi kulewa siwezi.

Inauzwa sh ngapi?
Hata nikilewa kidogo si mbaya, Nina stress mbili tatu hapa, hiyo inaweza saidia.



Nilicheka
Eti wewe pombe hunywi
Mziki nao hutaki kusikiliza,kijana mdogo unajibana
Unajilewea ndani kama hivi zikipanda kichwani unakimbilia kitandani unajifunika usingizi huo, ukiamka kesho stress zishaisha.

Usijibane sana, hadi bongo fleva jamani zina kosa gani😂

Hizi nililetewa na mtu toka SA, kwa huku sijajua kama ipo.
Ila kwa wewe ukizipata itakufaa maana ni tamu kama juice😋
 
Mwee Lenie nigawie
Hiyo kweli itakuwa tamu,chupa yake tu inaonekana

Mambo ya South hayo



Yaani
Sema shetani mbaya,nimeanza kurudisha nyimbo mojamoja kwenye simu
Zile beats Kali za kina Pfunk kwa kweli,hakuna atakayepinga zilivyokuwa Kali.
 
Walevi tunapendana hatuna baya, mtu akikutana na pombe nzuri huko duniani anakuletea uonje ladha mpya🤣🤣
Mwee hapa umebaki moja nitaamka nayo kesho kama itafanikiwa kubaki😋
Akiniletea zingine nitakupatia

Kwahyo nyimbo ilikua umezifuta kweli🤣🤣
Hee jamani hujazeeka kiasi hiko bana, matendo mema yatakulinda
 

Mimi huwa nawaambia watu kanisani kuwa tujifunze Upendo wa walevi.


Walevi wanashirikiana sana aisee,,hawezi muacha mwenzie aondoke na kiu.



Nilifutaga zote
2017
It was a hard decision,ila niliweza.
Nakumbuka nikawaambiaga nyumbani mm nimeachana na bongofleva,wakadhani natania.

Na wewe unarudia maneno yaleyale niliyoambiwa juzi,,

Yaani nimecheka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…