Uncle wangu ananipaga stori Mrema alikujaga Shy hiyo 95 kwenye kampeni.Baada ya kupiga kampeni jioni wakajisogeza hoteli kuanza kugawana vyeo .Yeye alipewa kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga,kilichompata alikimbilia Dar kubangaiza.
πππππ€£π€£π€£!! Tukutane saa nne kamilii najua coca kwa kuswampa tuuuu lazima avute madakika kadhaaaa huko ndio atie maguu humu!!
Nikijisahau unicallππ€ !