Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Labda unipige na hako ka baby face.
๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!! Tukutane saa nne kamilii najua coca kwa kuswampa tuuuu lazima avute madakika kadhaaaa huko ndio atie maguu humu!!
Nikijisahau unicall๐Ÿ˜Š๐Ÿค !
 
Uncle wangu ananipaga stori Mrema alikujaga Shy hiyo 95 kwenye kampeni.Baada ya kupiga kampeni jioni wakajisogeza hoteli kuanza kugawana vyeo .Yeye alipewa kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga,kilichompata alikimbilia Dar kubangaiza.
Unajua ile ilisababishwa na vyama vingi, ndio ulikuwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi. Na mrema alikuwa ni mwana ccm, ndio maana alipojitoa ccm akagombea uraisi akapata backup kubwa sana nchi nzima since watu walimkubali sana toka akiwa waziri wa mambo ya ndani na makamu waziri mkuu.

Bila Nyerere kusimama imara, ccm ilikuwa inakula za uso.
 
๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!! Tukutane saa nne kamilii najua coca kwa kuswampa tuuuu lazima avute madakika kadhaaaa huko ndio atie maguu humu!!
Nikijisahau unicall๐Ÿ˜Š๐Ÿค !
Poa tushituane tu๐Ÿ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ