Selfika na JF: Snap it. Show it

Nasemajeee mtatafutaa kwa kujifichaaaaa,

hatutumii makorokoro yoyotee na tunawakaa balaaa, hatuitajiiii torch

Treinnaaa lazima tukakukalie kikaoooo Kabesaaa usitutanieeee☺️☺️☺️🤠🤠🤠!!

Nasubiria Usiku tyuuuu miee naweka alarm kabesaa hapa!
 
Rangi ya pesa hii kijana😊
 
Aaliyyah Naomba 🤳 ulonenepaaa juzi nilikutag manyoya tyuuu jamaneee!!
Naomba uibles Jioni njema pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
 
huwezi amini Leo niliamka na mtu, acha nimcharue afu bila 7bu, yaan had anashangaa, mwenzenu sijui nikojee yaan nikiamka na mtu ntamtindinganya hata bila 7bu .
Itakuwa G hakuja weekend 🤣🤣🤣
 
Nasemaaaajeeeeee.. lazima tukakukalie kikaoooo na rangi yako inayokubeba hioooo
!!
Unaambiwa sio mzuri anaringia weupee, sasa km weupee rahisi nawee kuwa mweupee uringee,


Mtahaha na makoro koro, watu wanawakaaa orijinaleeeeeee.
Na hawavimbi wala nn.
 
huwezi amini Leo niliamka na mtu, acha nimcharue afu bila 7bu, yaan had anashangaa, mwenzenu sijui nikojee yaan nikiamka na mtu ntamtindinganya hata bila 7bu .
Hebu nae atinginyikee nisogeze masaa kwanii sh ngapi banaaa! Naweka siti Kabisa hapaaaa

🙇🙇🙇🤠🤠
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…