Selfika na JF: Snap it. Show it

Na usiku utakiw kula sana ukitaka nile mpaka nivimbiwe kuwe na ugali mrenda dagaa za kukaanga au nyama Choma au kukaanga na kachumbali iwe na pilipili nyingi
Achana na mambo ya kizungu wenzako kila baada ya mlo mkuu wanakuwa na vi-snack vya hapa na pale mixer tea au coffee na vijuisi kula ushibe
 
Chips na ugali kweli havikinai

Ila wali na tambi sasa
Yeah chipsi unaweza kula mchana na usiku na usihisi kitu .

Tambi yeah mimi napendaga noodles ndo naweza kula mara nyingi zaidi .

Ugali haukinai ni na mboga yoyote tu unaenjoy , hapo na dagaaa mchele , maharage , .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…