Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpwa baada ya mazungumzo ya miwa Jana nikaenda dukani nikakuta sehemu wazee kama 10 hivi wanakula acha nicheke nikakumbuka ule Uzi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mmoja akaniita nikachukue nilicheka had walinishangaa,Kila nikiingalia ilivo mirefu Sina mbavuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Shimba ya Buyenze
 
Mmh
Both banaaa
Hawa nao waongo jmn

Msukuma, miss youuuu✌️✌️
 
Mmh
Both banaaa
Hawa nao waongo jmn

Msukuma, miss youuuu✌️✌️
Usiwabishie wanasayansi. Labda nawe uje na utafiti wako!

Miss you too Mtumishi wa Bwana Aliye hai. Hongereni kwa semina nzuri iliyoisha jana. Endeleeni kutenda kazi shambani mwake bila kuchoka maana mavuno ni mengi lakini wavunaji ni wachache...na muda uko ukingoni πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
 
Nimepita tu maeneo ya stendi hapa Misungwi kama nusu saa iliyopita nikamkuta yanki mmoja hivi wa makamo anayo mitatu mirefu mmoja ndiyo anapambana nao miwili iko chini basi mi mbavu sina. Nilikukumbuka pia nikaishia kujisemea I wish mpwa angekuwepo hapa ajionee hii sanaa ya kula miwa mirefuuu bila kuikata kata πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
Sawa,acha nisiwabishie wanasayansiπŸ˜…kiroho ni both.....

Asante sana msukuma....
Ni kwa Neema tu ya Mungu.....Hakika wataenda kazi ni wachache mnoooo
Na we uingine kazini,ushuhudie tu kwakweli....
 
Sawa,acha nisiwabishie wanasayansiπŸ˜…kiroho ni both.....

Asante sana msukuma....
Ni kwa Neema tu ya Mungu.....Hakika wataenda kazi ni wachache mnoooo
Na we uingine kazini,ushuhudie tu kwakweli....
Kuingia kazini si mpaka uitwe mtumishi au unataka niibuke tu kwa akili zangu mwenyewe nianze kujiita nabii/mtume/mtumishi/mwalimu?

Toa mwongozo mtumishi πŸ™πŸΏ
 
Nimepita tu maeneo ya stendi hapa Misungwi kama nusu saa iliyopita nikamkuta yanki mmoja hivi wa makamo anayo mitatu mirefu mmoja ndiyo anapambana nao miwili iko chini basi mi mbavu sina!

View attachment 2683961
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Yani ulikuwa kama Mimi Jana aisee nilishindwa kujizuia Kila nikiwaangalia vimo vyao na Ile miwa Nacheka alieniita ndo aliharibu nilivoikaribia Sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
...Ana tabia nzuri, ana hiyo miakili, hana tako, utaoa??

Kwa kweli hapana kamanda. Huyo nitakuachia wewe πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ

 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Yani ulikuwa kama Mimi Jana aisee nilishindwa kujizuia Kila nikiwaangalia vimo vyao na Ile miwa Nacheka alieniita ndo aliharibu nilivoikaribia Sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkoa gani huo ? Maana kwenye Majiji yote hakuna mtu anayekula limua lirefu kama yupo Upcountry
 
hichi ni nini mzeeπŸ˜‚

kuna mifupa na mifupa bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…