Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Ipo mkuu
Comments zote nimesoma mpendwa za leo hakuna au umefuta
Comments zote nimesoma mpendwa za leo hakuna au umefuta
Mimi nimeshasahau kujibebisha jamaninimekuwa sugu mpaka nimesahau mibebisho










Kweli mbona mimi sijakumbukwa amakweli ukizeeka.Leo siku ya maua
Hebu ngoja tuoneHahahahahaha
Mie ndo nishaachwa na baba J jamani!
Baba J usinijaribu, venye niko huku namtumbo nalima akii
Narudi kuangalia comments moja baada ya nyingine nikikosaIpo mkuu
Kuna watu wana wivu wanaweza hata kukuroga eti
Hebu hukooo....
Pambana na baunsa sasa jamani
Waulize wahengaSijakuelewa mpendwa
Haya mkuuWaulize wahenga
Baba paroko nani alikuficha jamani!!Kuna watu wana wivu wanaweza hata kukuroga eti
Hahahaha....Mimi nimeshasahau kujibebisha jamaninimekuwa sugu mpaka nimesahau mibebisho



Wewe jimwambafai tuuNiko naingia kuoga...
Uje... utanikuta Wine Hall hapa napata Glass moja![]()
Vile naona
Kama huamini vilee baunsa ake dada Shunie
anataka acha crown yake ichukuliwe na dadakeToka 2009 sijawahi kuishi kwa nduguMawazo yako ni ya kimasikini mkuu.



Hapana jamaniiVile naonaanataka acha crown yake ichukuliwe na dadake

