Nikikaribia huko nitakwambia, be readyAh sikuachii
Nipe 1 hour ,nitakuwa nimefika hapo
Mikwara tu hiyo, nimekaa kazuramimba nishindwe huko. Wakola sanaWeee nishatotoa vichwa viwili mimi mileage kama yotreπ€ π€ βΊοΈ!!
Nyakibimbirii ukiweza kukaa hata Siku 2 wee utakua mwambaaaaβΊοΈ!
Ni bushiii balaaaa Huku sie ma don ndo tunapaweza!
Antonnia ππππAh izidi ndio.
Shepu ifike huko , akitembea tu , watu mimacho hiyo kwake .
πππUbishi wenu nitaumaliza mimi kama CAG
Nipeni location tuπ€
Okay ngoja nitoke huku .Nikikaribia huko nitakwambia, be ready
Sasa hivi mapema bado. Toka baada ya saa 1 toka sasa ili usinisubiri sana. Nitajitahidi kufika kwa wataki hapo, sawa shem.Okay ngoja nitoke huku .
Ngoja nijitahidi japo kwenye mazoezi nipo mzito balaa!!Ah kumbe
Umependeza sana , hongera kwa kumantain .
Jitahidi , uruke hata kamba au squats pia ujiongeezee na shape zaidi .
Mazoezi ni balaaNgoja nijitahidi japo kwenye mazoezi nipo mzito balaa!!
Mtrotro gushepuuu.. chuchu saa 4 kasoro ππ!!β₯οΈ
Nyakiboo kuna gym π π π π π labda akabebe migomba huko AntonniaMazoezi ni balaa
Nenda gym huko atleast ukiona wengine unafanya na wewe .
Sawa shemSasa hivi mapema bado. Toka baada ya saa 1 toka sasa ili usinisubiri sana. Nitajitahidi kufika kwa wataki hapo, sawa shem.
Nina siri ya ajabu ya kumaliza kitambi kwa siku 3 tu. Fanya kunipa mwaliko nikushangazeππMie nataka kuondoa kitambii kinakubali sasaπππ!!Yani nilifanikiwa kuondoa hili tambi ntakua na body tamu sana!π€
Gym itoke Wapi hukuu labda nibebe magogo ya shuleni yale kupasua kuni za kupikia wanafunzi πππ€ !!Nyakiboo kuna gym π π π π π labda akabebe migomba huko Antonnia
ππππ Ujikute tuGym itoke Wapi hukuu labda nibebe magogo ya shuleni yale kupasua kuni za kupikia wanafunzi πππ€ !!
yanii Mzabuni akileta kuni kwenye fuso mie ndio nazitoa kuzishusha hapo ntakua baunsa sasaππ!!
Mabosi wenyewe hawakai Bushii thubutuuuu!!Huwezi jua labda kuna bosi nshomile huko kaiweka ππ
Kwako hata kama naumwa nitakuja hivyo hivyo shem. Leo ndio nimejua nilikuwa nachezea bahati ya kupendwa π€©π€©Sawa shem
Ndo nachokupendea hichi unajua kujali .