Selfika na JF: Snap it. Show it

Hatari sana
Watoto wa Feza,Babobab na Tusiime hao
Hahaha.................shule za kawaida ila ni wengi, si unajua Wazee wa zamani tulikuwa tunazaa watoto 6 kuendelea ๐Ÿคช๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Reactions: 511
Yaani hapa nimempiga kiswahili Mwalimu Mkuu hadi amekubali nipeleke nusu nusu.

Imagine hapo nina watoto 8 tu ningekuwa nao 12 si ningetembea naongea mwenyewe ๐Ÿ˜…๐Ÿ™Œ
Grandchildren are the crown of the aged, and the glory of children is their fathers. Pambana mkuu
 
Grandchildren are the crown of the aged, and the glory of children is their fathers. Pambana mkuu
Hakika Mkuu, ila ningejua ningezaaga mwaka 47 saivi ningekuwa nakula pension pasipo presha ya kuambiwa Baba shule tunafungua Jumatatu hivyo naomba ada ๐Ÿคช๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Reactions: 511
Kweli nilichemka, kuna kabinti kalinifanyia ule mchezo wenu vijana mnapenda .......aisee kuja kushtuka tayari nikajikuta watoto wa uzeeni.

Sijui yule binti anafanya Yoga mnaita, yaani we acha tu...
 
Reactions: 511
Kazi mnayo๐Ÿ˜‚ Kuna sehemu nilifanya tulitengenezewa hadi magroup ya whatsapp....

Kumbe ni mchongo wazee wa vitengo wanazama inbox๐Ÿ˜‚
 
Kazi mnayo๐Ÿ˜‚ Kuna sehemu nilifanya tulitengenezewa hadi magroup ya whatsapp....

Kumbe ni mchongo wazee wa vitengo wanazama inbox๐Ÿ˜‚
Wazee wa kazi wanawasubiri ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Nilifanya field ya pili hospital huko ndo pako moto zaidi .

Interns nikasikia habari zao ni balaa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ