Selfika na JF: Snap it. Show it

Itabidi tumuombe kaka Mshana Jr atufungulie uzi wetu ma jobless tuwe tunatupia vi vocha vya kupigana tafu huko

Ili tuache hapa watu wa selfike tu kwa uhuru
Kabisa yaani
Hapa tumechanganyikana na matajiri
Wanakwapua vocha ambazo tulitakiwa majobless tuchukue.


Au kama vipi tuunde tu grp letu PM jamani.
 
Ada haijatimia mkuu, fanya kuiongeza kidogo. πŸ˜…
Yaani hapa nimempiga kiswahili Mwalimu Mkuu hadi amekubali nipeleke nusu nusu.

Imagine hapo nina watoto 8 tu ningekuwa nao 12 si ningetembea naongea mwenyewe πŸ˜…πŸ™Œ
 
Reactions: 511
Hatari sana
Watoto wa Feza,Babobab na Tusiime hao
Hahaha.................shule za kawaida ila ni wengi, si unajua Wazee wa zamani tulikuwa tunazaa watoto 6 kuendelea πŸ€ͺπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Reactions: 511
Yaani hapa nimempiga kiswahili Mwalimu Mkuu hadi amekubali nipeleke nusu nusu.

Imagine hapo nina watoto 8 tu ningekuwa nao 12 si ningetembea naongea mwenyewe πŸ˜…πŸ™Œ
Grandchildren are the crown of the aged, and the glory of children is their fathers. Pambana mkuu
 
Grandchildren are the crown of the aged, and the glory of children is their fathers. Pambana mkuu
Hakika Mkuu, ila ningejua ningezaaga mwaka 47 saivi ningekuwa nakula pension pasipo presha ya kuambiwa Baba shule tunafungua Jumatatu hivyo naomba ada πŸ€ͺπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Reactions: 511
Kweli nilichemka, kuna kabinti kalinifanyia ule mchezo wenu vijana mnapenda .......aisee kuja kushtuka tayari nikajikuta watoto wa uzeeni.

Sijui yule binti anafanya Yoga mnaita, yaani we acha tu...
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…