mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
kila la heri mkuu....Namtafuta bahati mbaya apatikani..
Nitafanya juu chini afike hiyo kesho maana kuna baadhi ya watu kila kitu tahusika nacho kuanzia usafili
kila la heri mkuu....Namtafuta bahati mbaya apatikani..
Nitafanya juu chini afike hiyo kesho maana kuna baadhi ya watu kila kitu tahusika nacho kuanzia usafili
Wewe mbona hujawekakila mtu kaselfika leo mzee, bado wewe tu
Nitafutie mwenye picha..Subiri ukutane na mwenye picha yake akulabue mitama
Shukrani.. itakua vizuri ukifika mkuu .kila la heri mkuu....
Depal Lenie kula chuma hikooo....😂Wewe mbona hujaweka View attachment 2670912
You never disappoint 😋💃🤸♂️🤸♂️Isikilize hii, hutojuta😂😂😂😂
Weka hzo hizo
Sitaki
niko mbeya, nikatie tiketi😂Shukrani.. itakua vizuri ukifika mkuu .
Jambo la kheri hili
Huwaogopi watu wa Dar?niko mbeya, nikatie tiketi😂
Mbeya mbali mkuu ungekua moro sawa..niko mbeya, nikatie tiketi😂
Wana nini kwani .?Huwaogopi watu wa Dar?
huyu ameokoka😂Huwaogopi watu wa Dar?
Kuokoka tena..😂😂😂😂😂😂😂huyu ameokoka😂
Toka lini form 1B akawa na mnvi?
Nasemajeee kula nyamaaa....... 😂😂😂😂Mbeya mbali mkuu ungekua moro sawa..
Tuket nimetoa kwa intel bado zingine tano nasubr dahan atasemaje
Dahan ukikosa itakua sio nzuri....Nasemajeee kula nyamaaa....... 😂😂😂😂
Kivipi mwamba,rabbitus kumbe we muoga
😂😂😂😂😂😂😂😂Dahan ukikosa itakua sio nzuri....
Yaani sitofurahi na tiket natoa kabisa 🙏🙏🙏😂