Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,259 Jun 27, 2023 #346,901 Antonnia said: Yanii.. tena huku mbele kabisa ndio kazipunyua Kweli bora ingekua katikati!! Click to expand... Tafuta gelly Dawa Achana nayo
Antonnia said: Yanii.. tena huku mbele kabisa ndio kazipunyua Kweli bora ingekua katikati!! Click to expand... Tafuta gelly Dawa Achana nayo
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,255 Reaction score 90,461 Jun 27, 2023 #346,902 Saint Anne said: Weka contact zako tuwape wajuzi Kuna watu wanajua ila hawapo jf. Click to expand... Kuziweka hapa ni ngumu kdg ,ila waambie wanitafute
Saint Anne said: Weka contact zako tuwape wajuzi Kuna watu wanajua ila hawapo jf. Click to expand... Kuziweka hapa ni ngumu kdg ,ila waambie wanitafute
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,259 Jun 27, 2023 #346,903 mtu chake said: Wanaume u mwanaume wako? Click to expand... Nimeongelea kiuwingi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,259 Jun 27, 2023 #346,904 mtu chake said: Kuziweka hapa ni ngumu kdg ,ila waambie wanitafute Click to expand... Wanakutafutaje na jf hawapo? Basi ngoja wataalam wa jf waje.
mtu chake said: Kuziweka hapa ni ngumu kdg ,ila waambie wanitafute Click to expand... Wanakutafutaje na jf hawapo? Basi ngoja wataalam wa jf waje.
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,343 Jun 27, 2023 #346,905 Saint Anne said: Tafuta gelly Dawa Achana nayo Click to expand... Ngoja nifanye hivo!
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 27, 2023 #346,906 mshamba_hachekwi said: tafuteni motivator nyingine.... bakini kwenye tall dark and handsomeπ Click to expand... Hahaaa kazi kwenu ππ Mie urefu na hb haunidatishi hata . Ninaweza toka na mtu yoyote
mshamba_hachekwi said: tafuteni motivator nyingine.... bakini kwenye tall dark and handsomeπ Click to expand... Hahaaa kazi kwenu ππ Mie urefu na hb haunidatishi hata . Ninaweza toka na mtu yoyote
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 22,318 Reaction score 72,102 Jun 27, 2023 #346,907 Tinsley said: Ninaweza toka na mtu yoyote Click to expand... aha kumbe hela sio ishu, unachangamsha tu gengeπ
Tinsley said: Ninaweza toka na mtu yoyote Click to expand... aha kumbe hela sio ishu, unachangamsha tu gengeπ
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,259 Jun 27, 2023 #346,908 mtu chake said: Sawa sawa, unakutana demu ana bwana ake ,na bado nakupiga mizinga Click to expand... Vunjabei nadhani hana maana hiyo. Anaongelea watu wenye mahusiano/ndoa serious. Source ya kwanza ni mwanaume Haijalishi pesa yake ni kidogo au nyingii Nyingine ni ziada Hata kama ni mamillioni ya pesa
mtu chake said: Sawa sawa, unakutana demu ana bwana ake ,na bado nakupiga mizinga Click to expand... Vunjabei nadhani hana maana hiyo. Anaongelea watu wenye mahusiano/ndoa serious. Source ya kwanza ni mwanaume Haijalishi pesa yake ni kidogo au nyingii Nyingine ni ziada Hata kama ni mamillioni ya pesa
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 27, 2023 #346,909 mshamba_hachekwi said: aha kumbe hela sio ishu, unachangamsha tu gengeπ Click to expand... Kwanza wenye hela full stress Huku wanawake wanamfata na kumtongoza πππ Bora upate wa kufanana naye na kawaida hakusumbui sana . Sikiliza wimbo ule diamond Yatapita ,naupenda sana .
mshamba_hachekwi said: aha kumbe hela sio ishu, unachangamsha tu gengeπ Click to expand... Kwanza wenye hela full stress Huku wanawake wanamfata na kumtongoza πππ Bora upate wa kufanana naye na kawaida hakusumbui sana . Sikiliza wimbo ule diamond Yatapita ,naupenda sana .
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,343 Jun 27, 2023 #346,910 Saint Anne said: Vunjabei nadhani hana maana hiyo. Anaongelea watu wenye mahusiano/ndoa serious. Source ya kwanza ni mwanaume Haijalishi pesa yake ni kidogo au nyingii Nyingine ni ziada Hata kama ni mamillioni ya pesa Click to expand... Chako ni chako tu hata kama ni kidogo una uhuru nacho mume hata awe na mabilioni ni yake sio yako!!
Saint Anne said: Vunjabei nadhani hana maana hiyo. Anaongelea watu wenye mahusiano/ndoa serious. Source ya kwanza ni mwanaume Haijalishi pesa yake ni kidogo au nyingii Nyingine ni ziada Hata kama ni mamillioni ya pesa Click to expand... Chako ni chako tu hata kama ni kidogo una uhuru nacho mume hata awe na mabilioni ni yake sio yako!!
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,259 Jun 27, 2023 #346,911 Antonnia said: Chako ni chako tu hata kama ni kidogo una uhuru nacho mume hata awe na mabilioni ni yake sio yako!! Click to expand... Hajasema chako siyo chako Chako chako,chake chako pia Na chako chake.
Antonnia said: Chako ni chako tu hata kama ni kidogo una uhuru nacho mume hata awe na mabilioni ni yake sio yako!! Click to expand... Hajasema chako siyo chako Chako chako,chake chako pia Na chako chake.
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,255 Reaction score 90,461 Jun 27, 2023 #346,912 Saint Anne said: Vunjabei nadhani hana maana hiyo. Anaongelea watu wenye mahusiano/ndoa serious. Source ya kwanza ni mwanaume Haijalishi pesa yake ni kidogo au nyingii Nyingine ni ziada Hata kama ni mamillioni ya pesa Click to expand... Hahahaha,oooh kumbe kama ni hivyo yuko sawa
Saint Anne said: Vunjabei nadhani hana maana hiyo. Anaongelea watu wenye mahusiano/ndoa serious. Source ya kwanza ni mwanaume Haijalishi pesa yake ni kidogo au nyingii Nyingine ni ziada Hata kama ni mamillioni ya pesa Click to expand... Hahahaha,oooh kumbe kama ni hivyo yuko sawa
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,255 Reaction score 90,461 Jun 27, 2023 #346,913 Saint Anne said: Hajasema chako siyo chako Chako chako,chake chako pia Na chako chake. Click to expand... Duh
Saint Anne said: Hajasema chako siyo chako Chako chako,chake chako pia Na chako chake. Click to expand... Duh
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,255 Reaction score 90,461 Jun 27, 2023 #346,914 Saint Anne said: Wanakutafutaje na jf hawapo? Basi ngoja wataalam wa jf waje. Click to expand... Wani PM ?
Saint Anne said: Wanakutafutaje na jf hawapo? Basi ngoja wataalam wa jf waje. Click to expand... Wani PM ?
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,259 Jun 27, 2023 #346,915 Tinsley said: Kwanza wenye hela full stress Huku wanawake wanamfata na kumtongoza Bora upate wa kufanana naye na kawaida hakusumbui sana . Sikiliza wimbo ule diamond Yatapita ,naupenda sana . Click to expand... Na Kuna wasio na hela pia full stress Ni kuomba tu Mungu Upendo wa kweli uwepo bila kujali pesa ipo au haipo.. Kuna watu wana pesa na wana true love Kuna wengine hawana pesa na wana true Love vilevile Kuna watu pesa wanayo na ni vichomi Na Kuna vichomi plus,pesa hana na stress kama zote.
Tinsley said: Kwanza wenye hela full stress Huku wanawake wanamfata na kumtongoza Bora upate wa kufanana naye na kawaida hakusumbui sana . Sikiliza wimbo ule diamond Yatapita ,naupenda sana . Click to expand... Na Kuna wasio na hela pia full stress Ni kuomba tu Mungu Upendo wa kweli uwepo bila kujali pesa ipo au haipo.. Kuna watu wana pesa na wana true love Kuna wengine hawana pesa na wana true Love vilevile Kuna watu pesa wanayo na ni vichomi Na Kuna vichomi plus,pesa hana na stress kama zote.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,259 Jun 27, 2023 #346,916 mtu chake said: Wani PM ? Click to expand... Mtu atakupm vipi na JF siyo member?
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,255 Reaction score 90,461 Jun 27, 2023 #346,917 Saint Anne said: Mtu atakupm vipi na JF siyo member? Click to expand... Basi asubiri tangazo huko mitandaoni hii ilikua ofa ya humu kabla haijaenda hewani
Saint Anne said: Mtu atakupm vipi na JF siyo member? Click to expand... Basi asubiri tangazo huko mitandaoni hii ilikua ofa ya humu kabla haijaenda hewani
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,255 Reaction score 90,461 Jun 27, 2023 #346,918 Saint Anne said: Mtu atakupm vipi na JF siyo member? Click to expand... Nipe contact zake nitamtafuta
Saint Anne said: Mtu atakupm vipi na JF siyo member? Click to expand... Nipe contact zake nitamtafuta
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jun 27, 2023 #346,919 Saint Anne said: Na Kuna wasio na hela pia full stress Ni kuomba tu Mungu Upendo wa kweli uwepo bila kujali pesa ipo au haipo.. Kuna watu wana pesa na wana true love Kuna wengine hawana pesa na wana true Love vilevile Kuna watu pesa wanayo na ni vichomi Na Kuna vichomi plus,pesa hana na stress kama zote. Click to expand... Hao ndo wanaume πππ Yani ndo maana siku hizi wadada wanazaa tu watoto na kutulia . No stress . Kuna msemo huo , its better to cry in a Mercedes Benz than on a biycle
Saint Anne said: Na Kuna wasio na hela pia full stress Ni kuomba tu Mungu Upendo wa kweli uwepo bila kujali pesa ipo au haipo.. Kuna watu wana pesa na wana true love Kuna wengine hawana pesa na wana true Love vilevile Kuna watu pesa wanayo na ni vichomi Na Kuna vichomi plus,pesa hana na stress kama zote. Click to expand... Hao ndo wanaume πππ Yani ndo maana siku hizi wadada wanazaa tu watoto na kutulia . No stress . Kuna msemo huo , its better to cry in a Mercedes Benz than on a biycle
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,259 Jun 27, 2023 #346,920 Tinsley said: Hao ndo wanaume πππ Yani ndo maana siku hizi wadada wanazaa tu watoto na kutulia . No stress . Kuna msemo huo , its better cry in a Mercedes Benz than on a biycle Click to expand... Kabisa Kuliko unalia kwenye nyumba ya nyasi
Tinsley said: Hao ndo wanaume πππ Yani ndo maana siku hizi wadada wanazaa tu watoto na kutulia . No stress . Kuna msemo huo , its better cry in a Mercedes Benz than on a biycle Click to expand... Kabisa Kuliko unalia kwenye nyumba ya nyasi