Selfika na JF: Snap it. Show it

Vunjabei nadhani hana maana hiyo.
Anaongelea watu wenye mahusiano/ndoa serious.

Source ya kwanza ni mwanaume
Haijalishi pesa yake ni kidogo au nyingii


Nyingine ni ziada
Hata kama ni mamillioni ya pesa
Chako ni chako tu hata kama ni kidogo una uhuru nacho mume hata awe na mabilioni ni yake sio yako!!
 
Kwanza wenye hela full stress
Huku wanawake wanamfata na kumtongoza


Bora upate wa kufanana naye na kawaida hakusumbui sana .

Sikiliza wimbo ule diamond Yatapita ,naupenda sana .
Na Kuna wasio na hela pia full stress

Ni kuomba tu Mungu Upendo wa kweli uwepo bila kujali pesa ipo au haipo..


Kuna watu wana pesa na wana true love
Kuna wengine hawana pesa na wana true Love vilevile

Kuna watu pesa wanayo na ni vichomi
Na Kuna vichomi plus,pesa hana na stress kama zote.
 
Hao ndo wanaume πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yani ndo maana siku hizi wadada wanazaa tu watoto na kutulia .
No stress .

Kuna msemo huo , its better to cry in a Mercedes Benz than on a biycle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…